Manchester United (Red Devils) | Special Thread

 
Sancho nae apunguze vyenga achia ball haraka kama unavyopewa kwa penetration passe.

Yaani naona Atletico tunawaweza sema hamna muunganiko (teamwork na team spirit ya kuua)
Sometimes anazingua sana na hivyo vyenga vyake, kuna nafasi nzuri ya kutoa pasi lakini lenyewe linang'ang'ania kukaa na mpira mpaka linanyang'anywa.
Hizo mbwembwe zake anatakiwa afanye tukiwa tunaongoza kwa goli nyingi, ila kwa huo upumbavu wake anaishia kuigharimu timu.
Kipindi cha kwanza mpaka kinaisha sijaona move yoyote ya maana ya kutafuta goli zaidi ya mbwembwe zisizo na msaada wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…