FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,924
- 11,305
Man united imesajiri panya magwaya mbona ni beki nguli mnoDe gea sio wa kulaumu , hzo erros huwa zipo tuu , De gea ni the best Mzee , japo timu ni Tia maji Tia maji....!!! Kama defence ni mbovu , na viungo hawatawali dimba, kipa huwez fanya lolote mana unakuwa overwhelmed na mashambulizi hata ujasiri unaisha , unamkumbuka Yule Cesar wa intermillan ya mourinho alikuwa Bora sababu ya defence , hata Mendy yupo vizur sababu ya defence , kipa anakuwa na confidence kufanya clearence ndogo ndogo zinazosababishwa na defence ....
Mpak sasa nyota wa United ni De gea , mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni ,
Timu ina matatizo mengi , mi naongezea tuu , tatizo jingine ni kusajili wachezaji maarufu , hawa viumbe most of the time ni uncontrollable, wabishi na wanataka wacheze kama wanavyotaka , kila mmoja anata aonekane ni the best ,
Ukiacha yote hayo bado Manchester city ni timu Bora Kwa sasa kupata ushindi ilitegemewa Sana , labda ulalamike kufungwa gori nne na sio mbili au moja
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app