Tatizo la Maguire ni kuwa na kichwa kikubwa kama Transfoma, kocha akimpa maelekezo liubongo lake kwa sababu ni likubwa linachukua muda kutafsiri maelekezo. Anashindwa kwenda sawa na kocha.
Ndio linafanya tuwe kituko. Maana kila ukifikiri kituko cha Man U ni Maguire then Wan Bissaka, ila Bissaka hapana yuko poa na majukumu yake sema mbele asee.