kama uliangalia mechi iliyopita utakua uliona alicho kifanya ice man, aligeuka ronaldinho, bila shaka mwalimu amekusudia kuona perfomance kama ile ikitokea upande wa kulia, upande wangu naona amenikosha sana ili na mimi nijionee kama alibahatisha au ana uwezo kweli
Kwa Atletico hii ya leo tuta-create chance nyingi sana. Wasumbufu wao kama Lemar, Suarez na Griez wapo bench ndugu yao Carrasco katulizwa ila bado Correa na Felix ni wa kuangalia sana beki akifanya blunder hawakuachi.
Atletico wapo solid sana ila muda mwingi wanaokolewa na Oblak tukiwa more clinical hii game inaweza kuisha leo. Naamini kutakuwa na magoli mengi kwenye hii mechi.