Akija kocha mwenye msimamo wake,tutabaki na Waingereza wawili au mmoja kabisa.Phil Jones amekataa kwenda Bordeaux.
Lingard amegomewa kwenda kwa mkopo.
Utagundua shida ilipo.
United wakimchukua Poch na City wakamchukua Ten Hag. Hatutaiona EPL for the forseeable future.Akija kocha mwenye msimamo wake,tutabaki na Waingereza wawili au mmoja kabisa.
Ndio maana wanampendekeza Poch ili vijana wa nyumbani wabaki klabuni.
Ralf ameshauri Ten Hag ndo awe kocha wa Utd.
Hii inafaa SanaKosi la vibaka
Chief unaelewa lugha lakini au tukutafsirie kidogo? Au una uelewa kidogo wa maswala ya usajili? Au unawafaham wataalam wa maswala ya usajili kama huyo bwana hapo unayemuona?Kweli ndugu zetu mumeishiwa aisee...yaan hadi yule dogo zakaria mulimtaka and this time mkashindwa kumsajili kweli...TENA JUVE WAMEMPATA HUYO DOGO KWA PESA NDOGO SANA...angewasaidia sana kwenye middle yenu. Dah!...Wakuu WHAT'S GONE WRONG IN TRAFFORD???.
View attachment 2102888
Nashangaa sana wanao mfikiria pochetino yaani uwezo wake ni average kwa ile PSG tu anatesekaUnited wakimchukua Poch na City wakamchukua Ten Hag. Hatutaiona EPL for the forseeable future.
Poch ni Ole mwenye experience.
PSG wametolewa kombe la nini sijui huko na machezaji yote aliyonayo pale.. binafsi Poch namuona average sana basi tuUnited wakimchukua Poch na City wakamchukua Ten Hag. Hatutaiona EPL for the forseeable future.
Poch ni Ole mwenye experience.
Sawa kiongoz naona iyo ni twitter account yake na sikuiona iyo post insta mimi huwa namfuatiliaga insta account yake tu, basi ni jambo jema kama hiyo ndio mipango mliyonayo hadi summer mkimsubir new manager ni vizuri kwasababu coach ajae akishindwa ashindwa mwenyew maana mtakua mumempa go ahead asajili watu anaowataka yeye na watakaoendana na mfumo wake.Chief unaelewa lugha lakini au tukutafsirie kidogo? Au una uelewa kidogo wa maswala ya usajili? Au unawafaham wataalam wa maswala ya usajili kama huyo bwana hapo unayemuona? View attachment 2105628
Maana yake pre signing ya new manager imefanyika?Chief unaelewa lugha lakini au tukutafsirie kidogo? Au una uelewa kidogo wa maswala ya usajili? Au unawafaham wataalam wa maswala ya usajili kama huyo bwana hapo unayemuona? View attachment 2105628
Nakuunga mkonoBinafsi natamani deal la Poch life. Atafute team nyingine.
Natamani machaguo yabaki haya tu!
1. Luis Enrigue (Ngumu kumpata kwasasa)
2. Erik ten Hag
3. Ralf Rangnick