wacha tuone labda donny na lingard wakitoka watasajili ila tusiwe na matumaini sanaHuwa wananikera sana na hii tabia yao.
Utadhani wao ndio wanaongoza ligi kwa point 20+ kwa jinsi walivyo kimya kwenye hili dirisha.
Bado siku 5 tuendelee na McFred yetu plus the walking Matic
Issue ni Kocha, unless tunakubaliana na kocha mpya hii January hata kisiri siri then aseme anachotaka itakuwa ngumu kusajili.Huwa wananikera sana na hii tabia yao.
Utadhani wao ndio wanaongoza ligi kwa point 20+ kwa jinsi walivyo kimya kwenye hili dirisha.
Bado siku 5 tuendelee na McFred yetu plus the walking Matic
4-2-4Naomba kujuzwa ile game tuliyocheza na West Ham, naomba kujua formation iliyotumika baaday ya rashford,cavani, Ronaldo, martial, Bruno kucheza wote kwa wakati mmoja..
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Kajifanya star wakati wenzake wapo serious.Bailly bhana..
Bahati mbaya kwa mashabiki wa united,hatuna mechi kabla ya dirisha kufungwa ili ituhamasishe kuingia sokoni kwa nguvu.RR ameona asiingie sokoni this january sio..sawa
Tar 8 tutakuwa Turf Moor kucheza na Burnley.Mbona ligi tutacheza mbali sana mpaka tarehe 15.
Inasemekana yeye mwenyewe alikubaliana na uongozi wa juu wasiongeze mtu kikosini mpaka majira ya kiangazi hatma ya kocha wa kudumu ikiamuliwa. Priority ni top 4.RR ameona asiingie sokoni this january sio..sawa
Ina maana hata uwezekano wa kumpata Ander Herrera kwa mkopo toka PSG pia imeshindikana?Inasemekana yeye mwenyewe alikubaliana na uongozi wa juu wasiongeze mtu kikosini mpaka majira ya kiangazi hatma ya kocha wa kudumu ikiamuliwa. Priority ni top 4.
Hata negotiations za mikataba zote zimewekewa pending status. Wachezaji wanaotolewa kwa mkopo pia haijumuishi buy option clause kwa timu wanazojiunga nazo.
Bruno FernandezNachojua dirisha dogo alijawai kuisaidia timu ikafanya vizuri ndo maana timu nyingi azionagi umuhimu wa kusajili dirisha dogo maana nikuja kuivuruga timu.
Ander Herera wann mkuu.Ina maana hata uwezekano wa kumpata Ander Herrera kwa mkopo toka PSG pia imeshindikana?
Top 4 bado matumaini ni madogo sana bila kuimarisha eneo la kiungo.