Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Ronaldo hawezi kuuzwa kwa sababu zifuatazo:Ronaldo abaki kufanya nini?
1. Ni legend wa club: Manchester United huwaambii kitu kuhusu ma-legend wao.
2. Hakuna club kubwa itakayomnunua Ronaldo, club ndogo hazitaweza kulipa mshahara wake. Labda aende Marekani ila Ronaldo ni mtu anayependa sana spotlight sasa kwa ligi ya Marekani hicho kitu hatakipata. Timu pekee ambayo inaweza kuwa na matamanio ya kumsaini Ronaldo ni Sporting: where it all started.
Kuanzia msimu ujao inabidi Ronaldo akubaliane na hali kuwa mpira wake ndiyo upo mwishoni na yeye kucheza dk 90 itakuwa ni ngumu sana. Ronaldo akitaka kustaafu kwa heshima basi awe na moyo kama wa Mata anaweza kukaa pale United hata mpaka akiwa na miaka 40 ila pia akitaka kustaafu kwa heshima arudi tu Sporting zaidi ya hapo hana namna.