Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Well done ila bado ugonjwa wa kukosa magoli mengi haujaisha leo tulitakiwa kuwalipa man city kifurushi cha siku sita walichowapa kina kifulani jana
 
Well done ila bado ugonjwa wa kukosa magoli mengi haujaisha leo tulitakiwa kuwalipa man city kifurushi cha siku sita walichowapa kina kifulani jana

kazeni tu mtafanikiwa wapate japo moja tu utaona kama hayajafika..
 
hawa wachezaji wenye vipara hawa ni noma sana..

goooo yaleo ni noma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…