Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani Fred kaanza nje? Leo ndo mtajua umuhimu wake kwenye timu yenu licha ya ubovu lakin ni wa muhimu pale man u kwa wachezaji waliopo ngoja tuone itakuwaje
 
Unaweza ukawa na mbinu nzuri, safi na bora zaidi
Lakin je hizo mbinu, unazitumia kwa watu wa aina gani


Magwaya, bisaka Shaw, Bailly


Lolote linaweza kutokea wakati wowote, tuwe watulivu tu
 
huku kwetu kila mechi ya saa tano hivi karibuni lazima mvua inyeshe iniharibie mtandao nikiwa nna stream dadeki
 
Kama DMs ni hao na hawa Burnley wanacheza 4 katikati mbona kama mtatafutwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…