suddenly i feel confident baada ya kuona hiki kikosi, nadhani ka greenwood ndio kanatakiwa kuonyesha kuwa kanatakiwa kuendelea kupangwa au aaminiwe elanga, hii mechi ni ya mtego kwake
Yaani Fred kaanza nje? Leo ndo mtajua umuhimu wake kwenye timu yenu licha ya ubovu lakin ni wa muhimu pale man u kwa wachezaji waliopo ngoja tuone itakuwaje
suddenly i feel confident baada ya kuona hiki kikosi, nadhani ka greenwood ndio kanatakiwa kuonyesha kuwa kanatakiwa kuendelea kupangwa au aaminiwe elanga, hii mechi ni ya mtego kwake