Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii ni timu joh unapokuwa hapo huwezi sema unaweka hisia zako mbele kabla ya timu na sio swala la democracy kwamba kila mtu awe na analo litaka au analo lihisi ni sawa kwake.

Imagine mpo katikati ya mechi ya liverpool tumefungwa goli tatu halafu kuna mchezaji anaenda kuungana na wachezaji wa liverpool kushangilia linapo ingia goli la nne na atoe sababu ya hovyo kama hiyo kuwa ndio mbinu yake ya kuhandle stress?

Unakumbuka chelsea mashabiki na viongozi walivyo mshambulia batshuayi alivyo mcheka morata baada ya kukosa penalt?

Unamkumbuka roy kean alisha wahi kuwambia hao kina rashid kwamba "Too much hug after deby"?
 
Unataka jambo ambalo haliwezekani mazee. Yaani watu wote 22 waonyeshe hisia sawa? Hao wanakuwa siyo binadamu tena.

Kwanini tujadili imaginations? Sijawahi kuona hilo likitokea. Tujadili uhalisia.

Sasa unaanza kulinganisha Mancunians na hao Rent boys? Unaelewa tofauti kati ya hao mashabiki?

Mentality ya Keano huwezi kuileta kwa hawa Millenials. Vizazi vinabadilika. Huwezi kutaka Millenials waishi kama wale wa kizazi cha BBC!
 
Huna akili wewe
 
Mkuu unapokuwa kwenye taasisi fulani au una wakilisha taasisi fulani ambayo kwa namna moja au nyingine ndio inakuletea ugali basi ni lazima uweze kwenda na trend yake katika kila kitu.

Hii sio katika mpira tu bali kila sehemu ni lazima hisia zako uweke pembeni na utembee na mood ya wakati huo katika taasisi yako.

Nakupa mfano mwingine tena katika soka, unadhani kwanini wakati wa bifu la casilas n ronaldo mashabiki na board walimzingua casilas mpaka kufikia kumtoa kwa sababu hakuonyesha kushangilia goli la ronaldo kwa sabab wana tofauti zao pembeni?

Jibu ni kwamba ile ni team(taasisi) na haiwezi kufanikiwa kama watu wanakuwa hawana vision moja yaani mwingine anakazana kuleta mafanikio yatakayo wapa hongera wote then mwingine awe amejifungia ndani anacheza ndombolo.
 
UEFA are talks with the South American Football Confederation over a joint Nations League.

It would see the likes of Brazil and Argentina take on European nations
 
Raiola anatusumbua sana nafikiri nimemuona Ruud Van Niersteroy kwa huyu jamaa wakuitwa , Dusan Vlahovic msimu uliopita goli 21 assist 2 msimu huu game 17 goli 15 assist 2 na leo kafunga.....

Ananguvu sana. Control nzuri na anahusika sana katika buil up. Speed ipo japo sio sana.....

Fiorentina huwa wanatoa wachezaji wenye kupambana sana mfano Chiesa etc
 
hawa newcastle leo waweza pigwa 10+, sielewi MBS anampango gani na hii timu kwa kweli?
hahahaha wanategemea usajili mkuu, ila mpaka usajiri ufunguliwe watakuwa na hali mbaya sana....

Ila mimi naamini Newcastle sio wabaya mama matokeo wanayopata sahizi.....

ngoja tuone january watasajili nani

Ila wakienda championship itawasumbua kupanda daraja na hata kupata wachezaji wazuri
 
I hope, Na sisi watatuachia point next sunday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…