Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bissaka ana ball control mbovu sn, no wonder aliachwa kwenye WC, ila huenda kocha pia alichangia, ngj tuone this time itakuwaje chini ya Ralf Rangnick.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa team ya taifa hana namba pale!! Nani atakaa bench palee!? Awaombee njaa tu, wapate majeruhi, au aongeze juhudi kwenye mashambulizi.
 
Inastaajabisha sana, ndani ya wiki moja makocha wawili tofauti wameweza kuifahamu position ya fred ya B2B huku upande mwengine kuna mwanadamu alihangaika naye miaka mitatu kwa kumchezesha DM.
ilo ni litakataka sjawai ona librazil lisilojua ata kumilik mpira, kutoa pasi yan limekaa ki mchongo mchongo


Sent using motorola 78
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…