Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnapokuwa mnaleta criticism za kutaka Ronaldo awalee hawa madogo ambao tumewaona miaka na miata hapo OT wakijifanya kutokulijua goli huwa nashangaa kabisa, haya sasa wamepata nafasi ngapi na nini wamefanya? Ronaldo mwacheni kabisa, na kwa jinsi ninavyoiona hii team na kikosi chake akipatikana msalimie anaejua kufundisha mpira (asiye msimamia mazoezi kama Ole), huyo mbwa (Ronaldo) ana magoli mengi sana ya ku-offer hapo.

Bado nina imani na hiki kikosi, ni swala la kupata mwalimu mzuri tu nadhani huyu Ralf anaweza kuwa tiba.
 
Kwa alie muangalia Dalot anisaidie, maana mimi sijamuelewa kabisa, bola ya Bissaka.
 
Fred overall game yake unaweza kusema ni mbaya

A lot of misplaced passes

Amechangia tufungwe goli la kwanza n.k

Lakini amehusika kwenye key moments 3, ametoa assist kwa Bruno, amesababisha penati iliyotupa ushindi na ame block mpira uliopigwa na Saka ambapo ingeweza kuwa goli la Arsenal la kusawazisha

Fred anatupa energy na commitment yake ni ya juu sana

Overall kwangu leo katikati ya uwanja amenifurahisha zaidi Scott... Amekichafua Sana
 
Penati ya michongo ile,tusijipe sifa wana Man U wenzangu,timu yetu bado mbovu,ina shida sehemu nyingi
 
At least mabadiliko yameanza kuonekana, nashangaa ni kwa nini solksjaer hakuona wahanga wake ambao ni beki za pembeni( shaw na bissaka), inshort udhaifu wao umeonekana baada ya muda mfupi tu! especially Leo alipoanza dalot na telles

Otherwise man u now imeanz kuonyesha uhai kabla hata makocha wapya hawajaanza kazi, big up Sasa ni muda wa kuclear makosa madogo madogo
 
Mpira wetu ni uleule,na mkumbuke tulikuwa OT lakini matumbo yetu yalikuwa moto dakika zote 90!!!Man U ninayoifahamu mimi tulikuwa hatu-struggle kuigonga Arsenal!!!narudia tena Ushindi wetu wa leo usitupe jeuri kwamba sijui timu imebadilika no no no, bado tuna safari ndefu,Penati ile ni michongo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…