Shida iko kwa hao wachezaji vikongwe mlo nao, hahahahaaaaa!!!!nami naomba ihishe ivi ili moyes atimuliwe tmechoka manyu kuumizwa roho bhawm
washabiki wa MANUREKWA MARA YA KWANZA WANALIA UWANJANIToo late, amechemsha muda mrefu sana alitakiwa kutoka, kafanya kosa kumtoa Cleverly angemtoa foward mmoja ili kuongeza nguvu kwenye kiungo
Shida iko kwa hao wachezaji vikongwe mlo nao, hahahahaaaaa!!!!