Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Kwa hii timu uiyoipanga ni ngumu kuwin match, United ni wazuri going forward lakini unahitaji kuwin possessionMechi sita za EPL dhidi ya Arsenal hatujashinda hata moja..D3,L3....We have to win this..surely.
My Starting XI
=======
De Gea
AWB Lindelof Bailly Telles
VdB Matic Fred
Sancho Ronaldo Rashford
=======
But nadhani Carrick atamrudisha Maguire kikosini na pia Fernandes ataanza.
AWB amekuwa hovyo ila ukiangalia replacement yake ya Diogo Dalot bado ni mchechemo tu vilevile defensively..Saka na Smith Rowe watamtesa sana Dalot on flanks ndo maana naona AWB acheze tu ili kusaidia kidogo..Kuhusu RB,ni muda wa kuandaa mchezaji mpya eneo hilo.
McTominay is a hider..jamaa kanajificha hakataki hata kapewa mpira ili kasipewe lawama..kuna muda unasahau kama hata yupo uwanjani..anakimbia mpira..I won't starts him in my team to be honest..He's absolutely useless..His positioning off-ball ni kitu cha kukiangalia sana..
Sasa unawin vipi possession kama timu haiwezi kupress? ugumu wa kushinda mechi kama hizi unaanzia hapo.
Nikimuangalia Ronaldo, Matic, Sancho timu inakuwa half hearted sioni pressure km vile Liverpool wanavyo kulazimisha ufanye individual errors kwenye Half yako, ndio maana mimi km arsenal fan kwa hii squad yenu inanipa confidence. Kama Arsenal tukiwa technically secure tunawin, japo kuna exception cases km Transition zinaweza kutuua kutokana na inexperience of our players.