Kama ishu ni makombe huyu Ralph pia atasemwa hana DNA ya makombe makubwaEvra: “Mauricio Pochettino, one name linked, didn't win anything with Tottenham, and if he comes in and doesn't win anything after a few months, some will be saying: 'Why did we get him? We want a winner.'
manutd |
#GGMU
Nonsense kama Timu zilizoko kwenye form zilishindwa kutufunga Chelsea zaidi ya goli moja nyie Timu ambayo ni ovyo mtaweza?kubalini Tu Kwa sasa hivi hamna uwezo wa kuifunga ChelseaKwa ufupi leo Manchester United wanashinda kwa ushindi wa goli 2 au zaidi (believe it or not)
Rashford atakuwa mmoja wa watakaoingia kambani (he loves playing against Chelshit)
Chelshit hawataamini wanachofanyiwa vijana wa kikundi cha TUCHELIBAN.
Chelshit hawatafunga goli zaidi ya moja au hawatafunga kabisa.
Possible results: 0 - 2, 1 - 2, 0 - 3
Mzee unakumbuka kipigo cha Liverpool Tena rival wenu ...... Kiufupi wachezaji wa man utd uwezo ni mdogo Sana ........Kwa ufupi leo Manchester United wanashinda kwa ushindi wa goli 2 au zaidi (believe it or not)
Rashford atakuwa mmoja wa watakaoingia kambani (he loves playing against Chelshit)
Chelshit hawataamini wanachofanyiwa vijana wa kikundi cha TUCHELIBAN.
Chelshit hawatafunga goli zaidi ya moja au hawatafunga kabisa.
Possible results: 0 - 2, 1 - 2, 0 - 3
Kwa ufupi leo Manchester United wanashinda kwa ushindi wa goli 2 au zaidi (believe it or not)
Rashford atakuwa mmoja wa watakaoingia kambani (he loves playing against Chelshit)
Chelshit hawataamini wanachofanyiwa vijana wa kikundi cha TUCHELIBAN.
Chelshit hawatafunga goli zaidi ya moja au hawatafunga kabisa.
Possible results: 0 - 2, 1 - 2, 0 - 3
Sasa we ulitegemea niseme leo tunafungwa?Nonsense kama Timu zilizoko kwenye form zilishindwa kutufunga Chelsea zaidi ya goli moja nyie Timu ambayo ni ovyo mtaweza?kubalini Tu Kwa sasa hivi hamna uwezo wa kuifunga Chelsea
Hivi unajua kubet kweli mzeee ...hizo odds maana yake man utd Hana uwezo wa kushinda hio game ,wanempa odd kubwa Sana ...United ana odds 6.85 kwamba anashinda. Anayeamini united anashinda asubiri mpaka dakika ya 30 akiwa kafungwa moja au bila bila kisha ampe united na aweke hati ya nyumba
Mvua kunyesha kidogo mshaanza kulala na mnaota vitu vya ajabu tu....Kwa ufupi leo Manchester United wanashinda kwa ushindi wa goli 2 au zaidi (believe it or not)
Rashford atakuwa mmoja wa watakaoingia kambani (he loves playing against Chelshit)
Chelshit hawataamini wanachofanyiwa vijana wa kikundi cha TUCHELIBAN.
Chelshit hawatafunga goli zaidi ya moja au hawatafunga kabisa.
Possible results: 0 - 2, 1 - 2, 0 - 3
Tena kuna nyingine tukiwa nusu kwa dakika zaidi ya 45 ww uliejiozea?Nonsense kama Timu zilizoko kwenye form zilishindwa kutufunga Chelsea zaidi ya goli moja nyie Timu ambayo ni ovyo mtaweza?kubalini Tu Kwa sasa hivi hamna uwezo wa kuifunga Chelsea
Muulize stering na sualez
Atampiga bombaMrembo Sancho asicheze, mnyama Rudger atamshikisha ukuta View attachment 2026219
Ha ha ha nimecheka nyumbaaaa sawa utalala kwa shemeji ykoUnited ana odds 6.85 kwamba anashinda. Anayeamini united anashinda asubiri mpaka dakika ya 30 akiwa kafungwa moja au bila bila kisha ampe united na aweke hati ya nyumba
Mi nawapa ushauri wanaoona anashindaHivi unajua kubet kweli mzeee ...hizo odds maana yake man utd Hana uwezo wa kushinda hio game ,wanempa odd kubwa Sana ...
1.30 kibongoOya wadau mechi Saa ngapi?