Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Sasa mbona kelele nyingi kwenye uzi wetu kama na wewe unaona kuna haja ya kusubiri Jumapili
Kwa hiyo tusubiri Jumapili au tuchambue akina Thiago Silva ... Si ndio beki mnayoitegemea. Farmers League rejectHakuna Cha kelele Wala nn hii thread sio yakooo . Ukweli ni kwamba kwa Chelsea nyinyi badooo sana
Kwa hiyo tusubiri Jumapili au tuchambue akina Thiago Silva ... Si ndio beki mnayoitegemea. Farmers League reject
Macocha wenye historia za namna hii za upepo kuishiwa nguvu huwa wanajikuta situations hizo zinawarudia rudia. waachwe.Mpaka sahizi nafikiri hawa wanaotajwa kama interim ni watu bora sana....
i)Ernesto varverde
ii)Ralf Rangnick
iii)Rudi garcia
Ernesto ververde alitwaa la liga mara 2, kombe la ligi pia....alifukuzwa january 2020 kwasababu ya matoke9 ya champions league back to back alipoteza kwa liverpool na roma the following season....
Rangnick mzuri kwenye uandaaji wa mipango bora ya timu ataistructure timu vizuri kuanz8a uchezaji hadi management jinsi ya kusajili
Rudi garcia alikuwa kocha bora sana akiwa Roma....Roma walikuwa wa moto sana ajabu msimu wake wa mwisho wqchezaji waliperform chini sana vipigo vikazidi hadi akafukuzwa...
Muoga yule hataka kutoka kuleYah man.
Unataka kocha yupi above Valverde au Poch ?Kwa mtizamo wangu Poch ni Ole aliyechangamka tu.
Baada ya kuona hizi tetesi zake kwa kweli nimekata tamaa na hii klabu kabisa.
Ndoto nyevu hiziChelsea vs Man U
Ball possession itakuwa hivi
Chelsea 90 Man U 10
huku Ronaldo akijikakamua kufunga Hattrick
Labda iyo Man Under 10Chelsea vs Man U
Ball possession itakuwa hivi
Chelsea 90 Man U 10
huku Ronaldo akijikakamua kufunga Hattrick
Na wakamuue kabsaSolskjær's picture on the Old Trafford mural has been removed [mail]
manutd |
#GGMUView attachment 2022888
United hawawezi mchukua poch wa kawaida sana, lazima atatafutwa kocha wa kubattle na elite coaches kama pep/klopp.Nilivyomuona poch Leo kwa mam city bado sins uhakika kama ataweza kuna kuipa man u mafanikio... Ameelemewa sana kupita maelezo ni bahati tu man city wamescore 2 na sio 4
😊Solskjær's picture on the Old Trafford mural has been removed [mail]
manutd |
#GGMUView attachment 2022888
Mnaona mnavyotangatanga kupata kochaMtoto mshenzi kweli huyu..
Kwa kuwa tumemfukuza kocha kwa sasa haisikitishi tunaenda tu na upepo mpaka pale tutakapompata kocha mkuu.
Ile team tatizo sio kocha, dressing room ni nzito imejaa mastaa tupu kila mtu anajiona bora yaani wapo wapo tu mtizame Tuchel wa chelsea halafu tizama wakati yupo PSG utanotice kituNilivyomuona poch Leo kwa mam city bado sins uhakika kama ataweza kuna kuipa man u mafanikio... Ameelemewa sana kupita maelezo ni bahati tu man city wamescore 2 na sio 4