Watu bwana.....sasa wanamwona Martinez kama bonge la kocha, kisa kuifunga
#ManUnited .....
Wanasahau huyo Martinez aliishusha daraja Wigan.....
Kwa upande mwingine, mashabiki maandazi wa
#ManUnited nao wanakuja juu na kumsema David, wengine afukuzwe n.k. Wanasahu kwamba ukimtoa Fellaini, United ni ile ile aliyoiacha SAF.....sasa hapo unampa lawama David kwa misingi ipi? Mbona sisikii wachezaji wakipewa lawama hizo? David ni kocha mzuri sana, alipotoka Everton alifanya mambo mazuri sana kwa aina ya uwezo Everton iliyokuwa nayo. Alipoitoa Everton hadi alipoiacha, kuna makocha wengi tu hawawezi. Ni kichekesho na kituko kuwaona na kuwasikia goons wakimsema David ni mid-table manager. Wamesahau Arsene Chenga, alipokuja goons hata address ya alipotoka kisoka, haifahamiki!! Leo eti wanamwita pulofesa!!!
David anahitaji muda kudeliver; muda ambao kwa mashabiki maandizi, haupo. Wao wanataka kuona
#ManUnited ikishinda mataji kila mwaka, kweli!!??! Hawa ndiyo wale kwenye trophyless seasons under SAF, walisema SAF kaishiwa, astaafu, ajiuzulu, na pumba nyingine kama hizo. Lakini aliposhinda EPL misimu mitatu mfululizo, wakawa kimya kama maji kwenye mtungi!!
David anahitaji kuestablish his mark and philosophy pale United; na kwa resources ambazo Ed Woodward kasema zipo regardless of trophy winning, basi ataweza kuing'arisha
#ManUnited tena.....
Ed kanifurahisha sana, kwani kasema United haiitaji kushinda makombe ili kuleta sponsors' money.....monies are flowing into
#ManUnited even now, kuna ongezeko la asilimia 63 katika sponsorship deals hadi sasa; there are more sponsorship deals at the door waiting.......hivi watu wanafahamu licha ya Liverpool kutoshinda taji la EPL toka mwaka 1990, lakini wao ni wa pili kwa kuwa na biggest shirt sponsorship deal?! Nasema hivi kwa sababu kuna pundits wameshaanza vidomodomo vya sponsorship deals kudrop and all bullshit.....deni la timu linashuka kwa spidi kubwa sana, ili nalo linavutia hizo deals......with monies present, then it is a matter of time for the team to get back to its best......
Don't worry
#TrueReds , the team will bounce back, EPL is a 42 kilometre run, it is just a matter of catch us if you can or catching up.....
#ManUnited all the way.....