Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Source ya hii khabari please!
 
Nilishasema humu kama Bruno angekuwa hatengenezi nafasi nyingi za kufunga ikiwemo kufunga magoli yeye mwenyewe.

Basi hata Thomas Soucek angekuwa bora kuliko Bruno.
 
Jurgen Klopp alikuwa foward pia.
 
Jumapili tulivu nimejipumzisha home, ila nikikumbuka kocha wetu bado ni OGS nauzunika, yaani pamoja ni kile kipigo cha 5 - 0 toka kwa mahasimu wetu bado bodi ina matarajio+ na OGS
 
Roy Keane atawazaba makofi kina Maguire mchana kweupe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndio kinachokosekana Manchester united.. aje kocha ambaye anakutwika fuko la mavi. Ferguson hakumkaripia David sinkwa Sabab hampendi Ila hataki ujinga...wote wanaolea watoto ukimlea mwanao kizembe zembe atakuwa wankijinga..

Wachezaji the same... Tunataka kocha mkali hao wote mnaosema wanakuja asijebkocha wa kijingajinga.. mchezaji ni mdg kwako na unajua anatakiwa afanye kazi
 
Michezaji ya siku hizi inadeka kinoma huku inakunja mipunga ya maana..ukiwa kocha mbabe wanakuundia zengwe..

Kina Hazard walimsusia Mourinho hadi akafukuzwa.

Though Socha anaonekana hata ule ukali wa kawaida tu hana.

Nilimuona siku moja tu akimkaripia AWB tena ilikuwa fainali ile ya Europa baada ya sisi kufungwa ndo akaanza kuchanganyikiwa,wakati ilibidi awe serious na akaripie makosa tokea dakika ya kwanza na awakaripie wachezaji wote asiwe na favouratism.
 
Yaani, japo sijawahi kumkubali "kama kocha", lakini kwa kweli ninasikitika sana kwa kinachoendelea kwenye media juu ya bwana OLE.
Na kinachosikitisha ni kwamba yaani situation inayotengenezwa ni almost similar na ile iliyotengenezwa mpaka kufikia Van Gaal kufutwa kazi akaajiriwa josee.

Kunatofauti chache sana, hasa kwamba sasa hakuna dorminant person anayetajwa kuwa tayari kuchukua nafasi yake, kama ambavyo josee alikuwa anatajwa kipindi cha van gaal, japokuwa uwapo wa sokoni zidane na namna anavyotajwa unakaribia sana scenario ya Van Gaal.

Yaani kimsingi niwashukuru sana hao wanamedia wa uk kwa namna ambavyo wanaexert maximum pressure kwa OLE kuondolewa, the pressure is maximum to say the least.

Yaani sasa kila anachokifanya OLE au kinachofanywa na wachezaji wa man utd makosa na mashambulizi yote ya lawana anaelekezewa OLE.
  • Immedietely baada ya international break kuanza akapanda pipa kwenda kwao, mashambulizi aliyoyapata sio ya kitoto kwa maamuzi haya.
  • Bailly kaomba msaamaha mashabiki kwa kujifunga gori, lawama zote kapewa ole kwa kitendo cha bailly
-karudi kwenye mazoezi, kamchezesha sancho full back no, 2 kwenye mazoeti, yaani kazodolewa sijawahi ona.
- maguire kafunga gori na kusababisha maswali mengi sana dhidi ya OLE.
-Imejurikana Pochetino kabakisha mwaka mmoja PSG, anashambuliwa OLE JUU ya kauli zake kabla ya Pochetino hajapata kazi PSG.

Kimsingi kama ana akili angesepa tu.
 
Katika watu ambao nawachukia ni wanaotuita nyumbuu.. yaan Bora Bora ujue kuwa kuniita nyumba wewe ni Ku.ma yamama ya maamamako. Niite jina lingine..sio nyumbu mavi nyie


Umbwaaa tu wewe

Nyumbu ni nyumbu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…