Manchester United are prepared to lose Paul Pogba for nothing next summer after accepting that the midfielder will not sign a new contract at Old Trafford.
#ESPN
manutd |
#GGMU
BusbyWakuu napenda kujua; kabla ya Fergie, Man Utd ilikuwa inatumia DNA gani?
Maana huyu Solskjaer anatufanya tuwaze mengi sana
Pogba wakula £500k kwa work rate ile pale Man U?Wampe mshahara wa £500k per week kama atakataa
Hazard anatembea na £400k per week,Grienzmann nae kote alikowahi kucheza alikuwa anachukua humo humo kwenye £400k per week na bado magarasa kibao yanakula zaidi ya £300k pee week halafu mchezaji caliber ya Pogba akubali £350k per week?!!!
Wasubiri gap la Pogba kujazwa na wachezaji uwezo mdogo kama McTominay
Pogba aachwe aondoke Free..Wampe mshahara wa £500k per week kama atakataa
Hazard anatembea na £400k per week,Grienzmann nae kote alikowahi kucheza alikuwa anachukua humo humo kwenye £400k per week na bado magarasa kibao yanakula zaidi ya £300k pee week halafu mchezaji caliber ya Pogba akubali £350k per week?!!!
Wasubiri gap la Pogba kujazwa na wachezaji uwezo mdogo kama McTominay
Huyu Pogba timu ya taifa anafanya vizuri kwa sababu timu nzima huwa inakaba collectively. Hapa kwetu Pogba mwenyewe hana ambitions binafsi na timuPogba aachwe aondoke Free..
He's the most indisciplined and careless player ever played for Manchester United...At this moment i care less about him.
Huyu Pogba timu ya taifa anafanya vizuri kwa sababu timu nzima huwa inakaba collectively. Hapa kwetu Pogba mwenyewe hana ambitions binafsi na timu
Sasa Pogba anacheza na anaona timu haina lengo na makombe ajitume ya nini?? Anahitaji champions League na Premier pia haoni hizo dalili ndo mana anataka kusepa zake mpaka sasa hata Ronaldo nadhani kaanza kujuta kuja pale.
Mimi ni man u damu ila kama kesho ili ole atimuliwe man u wafungwe 7 basi nakubali kichapoWanatamani kesho isifike ila tunaamini Ole atatuvusha.(Ole mitano tena).