Ofisi ndio imeamua mdau ila sio kesi acha atupe hata kikombe cha chai msimu huu na kwa ile misimamo yake hakawii kubwaga manyanga kama alivyofanya kule inter
Walimsingizia David Moyes, Louis Van Gaal, Mourhnio sasa Solskier lakini tatizo ni uzembe wa wachezaji. Hawakabi, hupoteza mipira hovyo na golini hutumia nguvu nyingi badala ya maarifa na hivyo kushindwa kufunga.