Naomba Mungu ajalie tupoteze hii mechi, kisha turudi EPL (kwenye ratiba ya moto) tutobolewe mechi zote. Lakini pia kama itawezekana nataka msimu huu uwe kama ule ambao tuli-stuck kwenye bamba sita na saba.
Kiufupi ni bora tuwe hata wa 15 huko ili huyu kenge aachie team.