aisee hii game jana sijaiona....nimetoka kubeba mabox nimechoka hoi nikakaa naisubiria game ianze,kabla haijaanza nikapitiwa na usingizi!!!!nimekuja kushtuka game imeisha kama masaa 4 yaliyopita naona scores sikuamini....nilitegemea game ngumu sana kutoka kwa wajerumani, sasa sijui MAN UTD ni walikuwa vizuri jana au hawa LEVERKUSEN walikuwa mdebwedo siku ya jana....all in all its a very very good feeling after sunday's disappointment.....