joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 18,839 Reaction score 39,418 Oct 16, 2021 #159,181 πππππππππππππππππππππππππ Mitano tena kwa Ole.
πππππππππππππππππππππππππ Mitano tena kwa Ole.
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Oct 16, 2021 #159,182 Maguire again
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Oct 16, 2021 #159,183 Sijaona beki mpumbavu kama Maguire pale England, hili goli ni lake, pale beki mwenye akili anautoa uwe wa kurusha yeye katoa kona wakati kulikuwa hakuna sababu ya kufanya hivyo kabisa.
Sijaona beki mpumbavu kama Maguire pale England, hili goli ni lake, pale beki mwenye akili anautoa uwe wa kurusha yeye katoa kona wakati kulikuwa hakuna sababu ya kufanya hivyo kabisa.
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,178 Reaction score 37,475 Oct 16, 2021 #159,184 Kwa mara ya kwanza leo ni bora Ole aondoke.
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Oct 16, 2021 #159,185 PTER said: Maguire again Click to expand... Eti ndio captain wetu, inasikitisha sana.
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Oct 16, 2021 #159,186 NJOONI WAMEFUNGWA TENA BHANAAA!!
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Oct 16, 2021 #159,187 Taratiiibu mnaanza kurudi nafasi zenu
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Oct 16, 2021 #159,188 Mashabiki wa Utd duniani hawasikilizwi kabisa.
Ntalukwilasa JF-Expert Member Joined Jun 24, 2017 Posts 989 Reaction score 1,281 Oct 16, 2021 #159,189 Magwaya again what is a fantastic defender ... Wachezaji wetu Wana afya mbovu hawawezi kunyang'anya mipira kutoka kwa wapinzani... Wakiguswa kidogo tu chiniiii
Magwaya again what is a fantastic defender ... Wachezaji wetu Wana afya mbovu hawawezi kunyang'anya mipira kutoka kwa wapinzani... Wakiguswa kidogo tu chiniiii
joshydama JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,623 Reaction score 5,049 Oct 16, 2021 #159,190 Hii timu ni mbovu sana. Hawatumii akili hata kidogo.
G Goguryeo JF-Expert Member Joined May 17, 2019 Posts 3,120 Reaction score 5,871 Oct 16, 2021 #159,191 kinachoendelea old Trafford Leo dah ππ niliwahi kusema ,,timu inayocheza Vs manutd huwa zinacheza vizuri mpaka basi kuliko manutd yetu.
kinachoendelea old Trafford Leo dah ππ niliwahi kusema ,,timu inayocheza Vs manutd huwa zinacheza vizuri mpaka basi kuliko manutd yetu.
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 18,839 Reaction score 39,418 Oct 16, 2021 #159,192 Timu inashinda kwa uwezo binafsi wa wachezaji. Vaaaaaaaaaaaaardyyyyyyyy,mitano tena Ole.
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Oct 16, 2021 #159,193 hii timu hii
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,178 Reaction score 37,475 Oct 16, 2021 #159,194 Duh π balaa kubwa
Penison JF-Expert Member Joined Nov 4, 2017 Posts 6,372 Reaction score 12,529 Oct 16, 2021 #159,195 PIGAAAAAAAAAAAA KENGE HIZOOOO
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,435 Oct 16, 2021 #159,196 Amkeni amkeni amkeni yanapigwa manyumbu huku
Peramiho yetu JF-Expert Member Joined May 25, 2018 Posts 5,299 Reaction score 15,026 Oct 16, 2021 #159,197 Ole sabaya 30 ole guna sendeka 2
Relief Mirzska JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 13,976 Reaction score 22,409 Oct 16, 2021 #159,198 PTER said: Watu wanacheza kama wanamimba changa Click to expand... Pole mkuu hahahaahha
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,178 Reaction score 37,475 Oct 16, 2021 #159,199 Pogba si holding mid hata siku moja.
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,144 Oct 16, 2021 #159,200 Bado hajafukuzwa tu Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app