Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mech ijayo si nyepesi kwa uzembe wetu wa kuruhusu goli kila mech kazi ipo sisi kutoa gg kawaida sana
 
Yaaani mpka leo bado muna amin Ferguson ni bora kuliko Ole no huo ni utoto na kukusa heshima kwa ole mpira alio fundisha hiko ki babu chenu wa kizaman kimeondoka hata VAR hakuna leo unasikiliza maamuz kwa mzeee miaka 80 cji 70 takataka nyie halafu mkubali hiko kibabu cha ureno nacho jua la jioni yy ndio mwal anajua cr7 aanze au atokeee sub BAS FUKUZA OLE LETA FERGUS ON MUONE KMA HAMKUSHUKA DARAJA anaju Gigs yupo ss yupo haruna magwaya haha pole
Una hasira sana haya makasiriko ya nini? Waliocheza mipira miaka ya 80 wakina maradona sio bora et?
 
Yaaani mpka leo bado muna amin Ferguson ni bora kuliko Ole no huo ni utoto na kukusa heshima kwa ole mpira alio fundisha hiko ki babu chenu wa kizaman kimeondoka hata VAR hakuna leo unasikiliza maamuz kwa mzeee miaka 80 cji 70 takataka nyie halafu mkubali hiko kibabu cha ureno nacho jua la jioni yy ndio mwal anajua cr7 aanze au atokeee sub BAS FUKUZA OLE LETA FERGUS ON MUONE KMA HAMKUSHUKA DARAJA anaju Gigs yupo ss yupo haruna magwaya haha pole
Ole ana ubora gani sasa yani mpaka sasa kaleta ubora gani kikosini cha maana sana kuliko kina an gaal au Mou?
 
Yaaani mpka leo bado muna amin Ferguson ni bora kuliko Ole no huo ni utoto na kukusa heshima kwa ole mpira alio fundisha hiko ki babu chenu wa kizaman kimeondoka hata VAR hakuna leo unasikiliza maamuz kwa mzeee miaka 80 cji 70 takataka nyie halafu mkubali hiko kibabu cha ureno nacho jua la jioni yy ndio mwal anajua cr7 aanze au atokeee sub BAS FUKUZA OLE LETA FERGUS ON MUONE KMA HAMKUSHUKA DARAJA anaju Gigs yupo ss yupo haruna magwaya haha pole
Madhara ya kukimbia shule mapema haya umeandika nini sasa.
 
Yaaani mpka leo bado muna amin Ferguson ni bora kuliko Ole no huo ni utoto na kukusa heshima kwa ole mpira alio fundisha hiko ki babu chenu wa kizaman kimeondoka hata VAR hakuna leo unasikiliza maamuz kwa mzeee miaka 80 cji 70 takataka nyie halafu mkubali hiko kibabu cha ureno nacho jua la jioni yy ndio mwal anajua cr7 aanze au atokeee sub BAS FUKUZA OLE LETA FERGUS ON MUONE KMA HAMKUSHUKA DARAJA anaju Gigs yupo ss yupo haruna magwaya haha pole
hebu kwanza tulia.......Wewe utafananisha quality ya top four sahizi na top four ya enzi za fergie mfano hivi angalua chelsea ya kina Drogba, Lampard, essien, Makelele,john terry, joe cole, Carvalho

Arsenal ya Henry, Vieira, Berkamp, Van persie, Nasry, Adebayor, pires, Ashley cole,

liverpool ya kina Gerrard, torres, Xabi alonso, riise, Carragher, pepe reina, etc

Hao ni baadhi ya wachezaji wa squad tofauti zilizoshindana na timu ya Ferguson

Sasa wewe unafananisha na chelsea ya kina Mount wewe kweli hauna akili, wewe ole anashindwa mfunga Arsenal ya Kina Holding angeweza kuwafunga kikosi bora cha 2004 cha arsenal.......
 
hebu kwanza tulia.......Wewe utafananisha quality ya top four sahizi na top four ya enzi za fergie mfano hivi angalua chelsea ya kina Drogba, Lampard, essien, Makelele,john terry, joe cole, Carvalho

Arsenal ya Henry, Vieira, Berkamp, Van persie, Nasry, Adebayor, pires, Ashley cole,

liverpool ya kina Gerrard, torres, Xabi alonso, riise, Carragher, pepe reina, etc

Hao ni baadhi ya wachezaji wa squad tofauti zilizoshindana na timu ya Ferguson

Sasa wewe unafananisha na chelsea ya kina Mount wewe kweli hauna akili, wewe ole anashindwa mfunga Arsenal ya Kina Holding angeweza kuwafunga kikosi bora cha 2004 cha arsenal.......
Kwan ww unaakili?
 
Lakini bado utasikia watu, De Bryne ni noma , where is he? Hata mwaka aliokuwa on his prime
stredfordend-___CU_9aewAVvP___-.jpg
 
Kwani tunapambania kombe moja tu mkuu?
EFL alicheza Daniel James Sancho upande wa kushoto na kulia alicheza James kama sikosei tumeshatolewa.

UEFA mechi zote alirotate kumbuka mechi hizo Rashford na Amad walikuwa na Injury na Daniel James tayari alikuwa ameshaondoka. Sasa Amad angechezeshwa akiwa na injury ?

Rashford amesharudi tutegemee Sancho kucheza kulia au kuendelea kucheza kushoto kama wataendelea na Greenwood upande wa kulia.
 
Back
Top Bottom