Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Martial leo ni kama alitufanya kucheza pungufu kwa dakika zote.

Ila cha kushangaza katolewa Mata na Telles kaachwa the sleeping Martial.
substitution ya juan mata ilinikera sana, martial na jesse lingard ndio walipaswa kutoka.
baadhi ya nyakati kuwaelewa makocha unahitaji kuwa na degree ya uvumilivu
 
Mtu mmoja mwenye akili timamu aje aniambie kwanini Ole analaumiwa game ya leo !?
 
Huyu Martial leo ni kama alitufanya kucheza pungufu kwa dakika zote.

Ila cha kushangaza katolewa Mata na Telles kaachwa the sleeping Martial.
Ole huwa anapenda kuwaridhisha baadhi ya wachezaji wake hata kama ni underperfoming...

Martial ilibidi awe benchi kabla ya dakika ya 60.
 
Yeah! London is blue πŸ’™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…