ok....tusubirie muda na wakati utapofika ndipo tutajua kwanini sie tupo ndani ya big 4 na wao hawamo....habari za kina lenon, mara modric mara pete crouch sie hatuzihitaji...tushazoea kelele za chura mwisho wa siku sie ngombe tunakunywa maji...kama mnabisha waulizeni wenzenu wa arsenal tuliwafanya nn
Kuna msimu season Spurs walitupiga 3 bila hadi half time kipindi cha pili tukawapiga 5 game ikaisha 5-3, msimu uliopita walitupiga 2-0 hadi half time kama kawaida second half tukawafunga 4-2
Huyo Lennon raha yake ni kumpiga chenga Evra but hana madhara
Eti Tottenham who? Hivi nyie mmeanza kuangalia mpira lini maana naona history nayo inawapiga chenga. Spurs miaka yote vibonde tu ni sawa na Man City kwa Arsenal.
Man Utd kama kawaida wataibuka washindi dhidi ya Spurs.Kila msimu mpya unapoanza Man wana kawaida ya kuanza ligi kwa kusuasua.Mwaka jana msinakumbuka bwawa la maini walivyoanza kwa nguvu za soda lakini mwisho wa msimo bingwa alikuwa nani ????.
Mtajuta kuzipenda timu zinazowatia simanzi kila kukicha.
Man Utd kama kawaida wataibuka washindi dhidi ya Spurs.Kila msimu mpya unapoanza Man wana kawaida ya kuanza ligi kwa kusuasua.Mwaka jana msinakumbuka bwawa la maini walivyoanza kwa nguvu za soda lakini mwisho wa msimo bingwa alikuwa nani ????.
Mtajuta kuzipenda timu zinazowatia simanzi kila kukicha.
Haya wadau line up yetu ni kama ifuatavyo,
Foster, O'Shea, Ferdinand, Vidic, Evra, Fletcher, Scholes, Anderson, Giggs, Berbatov and Rooney.
Subs: Kuszczak, Owen, Carrick, Nani, Fabio Da Silva, Jonathan Evans, Valencia.