Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial ni maskini aliyeridhika na utajiri,
Ole ni tajiri anaeishi umaskini, mtu kamtaka Sancho ila bado anamuweka benchi anaanzisha kile kikosi alichoaminisha bodi kuwa kinahitaji boost ndio kuchukue ndoo sasa anajifanta mentality officer badala akomae na matokeo
 
Naomba kuuliza.

Hawa wazungu hawajavaa barakoa na wamekaa karibu karibu naomba ufafanuzi ..


Ni kwamba wamechanja au ndio uviko kwao umepotea?¿???
 
Ole mjinga sana,namuunga mkono Nzi jamaa aondolewe tu.
Wakati mwingine tunamlaumu Pogba na Lindelof ila Ole anaweza kuwa ndiye tatizo namba moja la timu kutofanya vizuri.
Tatizo la Ole ni lile lile misimu yote.

Laissez Faire Attitude tunapoteza mechi kwa sababu mwalimu na timu yake anaamini atashinda tu bila kupambana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…