Msimu uliopita dawa haijakutoshaHivi hiyo backline utaifananisha na hii Tierney ben white holding bellerin??
Kuanzia mchezaji mmoja mmoja hadi backline nzima hamfikii hata robo
Sawa mkuu naimani points 6 zitakusaidia ushike hat nafasi ya8 msimu huuMsimu uliopita dawa haijakutosha
Msimu huu points 6 za uhakika nachukulia kwako
Anahitaji chanjoo huyuNa wewe unayeifuatilia usiku na mchana umekaaje? Jipime kabla hujapimwa
Rice to me is notHaufatilii tetesi zetu mkuu? Tetesi kwa upande wa midfield ni Camavinga, Rice, Neves, Saul
Mkuu umeona mbali sn..Nyumbu hizi sajili mnazofanya mnataka kukomba makombe yote aisee?
Dah baada ya varane mkimalizia na usajili wa DM - Rice, kikosi chenu kitakuwa cha moto sana.
Punguza kuweweseka.Tayari mna magwaya haitoshi mnaona muongeze Baja varane
Tunashukuru kwa kujipatia over ya 2.5
Kama ole atachanga karata zake vizuri, kuna baadhi ya game anahitaj matokeo ila huwa anaingia na akili flan hivi ya kiutopoloMkuu umeona mbali sn..
Man u ilikuwa inaumizwa na center back na DM ..
Wakinunuwa hao watu na Cavan yupo fit.
Ubingwa wetu msimu ujao
Under Ole siwaoni Man U wakiwa bingwa mtasbr sana na tactics zake zile msifikir atabadilika kirahis kwny mambo anayoamin yy..mda utaongea lkn Bet yng siwaoni Man U akiwa Bingwa lkn atakua competitor mzr sna.Mkuu umeona mbali sn..
Man u ilikuwa inaumizwa na center back na DM ..
Wakinunuwa hao watu na Cavan yupo fit.
Ubingwa wetu msimu ujao
Na wewe unayeifuatilia usiku na mchana umekaaje? Jipime kabla hujapimwa
Kwapa Tu mtanyanyua Sana Ila makombe tutanyanyua Sisi ChelseaSahv tutakuwa serious tuliconcede magoli mengi sana aya set pieces na tumeshaleta kocha mtaalam wa eneo hilo kuondoa tatizo hilo msimu lazima tunyanyue kwapa
Ni.kwl mkuu lakini man u imesha kaa vizuri kwa sasa.Kama ole atachanga karata zake vizuri, kuna baadhi ya game anahitaj matokeo ila huwa anaingia na akili flan hivi ya kiutopolo
Kwamujibu wa wadau leta Rice, ila mimi waingereza huwa siwaamini sana.Baada ya varane next ni CDM nani anatufaa wadau
Arsenal ni wendewazimu tu.View attachment 1869980
Hapa naona deal limefanywa kiufundi sana
Jamaa huwa hadanganyi!Fabrizio anasema Varane yuko karibu..itakusa sajili nzuri.