D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ni kazi ya kocha. si mchezaji unaamka uko unajipangia utakuwa mpiga penalt. si utaratibuBruno mzee wa mapenalt masikini ya mungu hapewii,yote anapiga ronaldo..
ila ronaldo yuko na roho mbaya ,kwan hajui Bruno anajua kushoot penalty
Camavinga ni mzuri sana aiseh japo physically sina uhakika sana nafikiri inaabidi apige mazoezi zaidi.....technically ni mzuri sana anapiga pasi vizuri, anadribble viziri, amefunga some goals pia....Rasmi tumeingia kwenye vita ya kumsajili camavinga na wiki hii klabu itakutana na wawakilishi wa mchezaji huyo. Wapinzani wetu wakubwa ni PSG kwa sababu camavinga anapendelea kubaki ufaransa,
Rasmi tumeingia kwenye vita ya kumsajili camavinga na wiki hii klabu itakutana na wawakilishi wa mchezaji huyo. Wapinzani wetu wakubwa ni PSG kwa sababu camavinga anapendelea kubaki ufaransa,
ni kazi ya kocha. si mchezaji unaamka uko unajipangia utakuwa mpiga penalt. si utaratibu
cr7 aki underpeform lazima upatikane mbadala.Pale Ureno CR7 ndio kusema, hakuna cha kocha.
Bruno haonekani kabisaFernandes kuti kavu again..
"Bruno hamna kitu"Bruno haonekani kabisa
Bruno Hanna kitu ,ni shati tu linatembea uwanjan
Portugal out ...!"Bruno hamna kitu"
One of the shitty line from a football fan. Enjoy this beautiful game while you still can. Nyeupe sema nyeupe na nyeusi sema nyeusi, kwa hiyo mentality yako kuwa mchezaji hata awe mkali vipi ila akiwa rival side tayari ni trash hutakaa ufurahie huu mchezo.
Hate aside Bruno anajua even your gaffer knows that too. Hata big players kama Ronaldo na Messi kuna game zinawakataa ila ubora wao upo palepale.
Cry some more.......
Ndio kasababisha boyaa yule ,anamaliza dakika anarukaruka tu uwanjani kudadekiiWe mkunduma kweli, kwaio bruno ndio kasabisha timu itolewe sababu yuko timu iliyokaa kwenye ubongo wako masaa yote unayoichukia..timu imepambana hadi mwisho halaf unakuja kusema nini hapa, mashabiki wengine mikunduma kweli
Kocha anaondoa majembe anabakisha vilaza.Mtu wa namna hiyo pale United tulimpata ila Ole kwa ujinga wake mwenyewe akamwacha akaenda.
Ander Hererra ndiyo mchezaji aliyekuwa na discipline ya hali ya juu sana uwanjani kuliko mchezaji yoyote wa United kumshuhudia post Ferguson Era,
Alikuwa tayari kucheza namba yoyote uwanjani kufanya kazi chafu yoyote uwanjani ili timu ishinde.
Mourinho alimpenda sana Herrera kwa kazi kama hizo, wachezaji aina ya Herrera na Park siyo lazima acheze mechi zote msimu mzima wao wana mechi zao maalumu na mechi hizo ndiyo decisive kwenye kuamua hatima ya msimu wako kwenye ligi.
Herrera alifaa kuwa captain wa united siyo kuacha aondoke kwa free transfer.
Ole Alitaka wachezaji wajinga wajinga wawe wengi kikosini ili mbinu zake zinapofeli asionekane yeye ndiyo mwenye makosa.Kocha anaondoa majembe anabakisha vilaza.
Akija kocha mwingine atataka watu wengine upya.
Tatizo la United lipo chini sana kuliko tunavyodhania.
Kuna wachezaji wameondolea hawakutakiwa kuondoka na kuna wachezaji wamebaki hawakutakiwa kubaki.
Muda sio rafiki kwake..next season kudeliver tena kwa highest level ni lazima na sio hiari..otherwise aondoke mapema.Ole Alitaka wachezaji wajinga wajinga wawe wengi kikosini ili mbinu zake zinapofeli asionekane yeye ndiyo mwenye makosa.
Hataondolewa labda afanye vibaya sanaMuda sio rafiki kwake..next season kudeliver tena kwa highest level ni lazima na sio hiari..otherwise aondoke mapema.
Sisi mashabiki na Media tutaquestion uwezo wake vizuri..achana na hii pressure mkuu.Hataondolewa labda afanye vibaya sana
Kama atamaliza nje ya top four atafukuzwa ila ndani ya top four hatafukuzwaSisi mashabiki na Media tutaquestion uwezo wake vizuri..achana na hii pressure mkuu.
Yaani let's say next season tunamaliza nje ya top four na bila kombe lolote..kitu ambacho kinawezekana vizuri tu,msimu wa 2022/2023 Ole atakuwa on the wheel?