Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu za spain zikishaingia kwenye 18 hamchomoki.. ..timu inayoshika nafasi ya pili kwenye ligi yao imefungwa na timu ya nafasi ya 7 πŸ˜€ ndio mtambue spain wana ligi bora.. ..
 
Unapochangia Jambo furani ukae ukijua kuwa humu jf Kuna watu wanaheshima zao.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sir Alex ferguson mbinu alizowapa hazikufaa? naona hata PSG aliwaingiza chaka.

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…