Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HT. Villareal 1-0 united.

Villareal wana dakika 45 tu kunyanyua kwapa... Ole anapaswa kushinda hii game, imuongezee cv.
 
Wabadilishane upande na greenwood
Greenwood ni bonge la upcoming player, aongeze bidii tu. Shida sio upande, tatizo la Rashford ni kutaka U-ronaldo wakati akili haitaki, yani sehemu ya kupiga pasi ye anataka asubirie kijiji Ili atembee nacho,ukiangalia boko nyingi za kupoteza mipira kizembe zilizotaka kuicost team zimetokea kwake.
 
Sema nimeona bora angeanza fred pogba angetokea benchi...
 
Sijui ni kwanini habadiliki. Ndio maana natamani atoke Pogba asogee mbele. Maana Pogba kusaidiniana na McTominay bado naona ni shida na yeye ndio kasababisha kosa mpaka ikapatikana foul iliyozaa goli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…