Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu hapa kuna kocha hata kama tutafungwa sosha kajitahidi mno
Mbona hakuna muunganiko watu wanacheza tu


Nadhani ulishawahi iona second eleven ya city


Tuanzebe anytime [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mbona hakuna muunganiko watu wanacheza tu


Nadhani ulishawahi iona second eleven ya city


Tuanzebe anytime [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

City ni city wale toka 2010 hawajah kuwa na timu mbovu ni rahisi kusonga mbele sisi toka 2013 tumevuruga sana mfumo kwa hiki kinachofanywa naona kuna uelekeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…