Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu ile penalty kwanza haikuwa halali kama umaweza kureview review tena. We kubali umefungwa jiandae na mechi yako na nyukasto ya Chelsea huwezi
Watu wamesomea mpira miaka ,wanauzoefu na u referee zaidi ya miaka 10 , wameshachezesha mechi zaidi ya 100 ,kuna camera kila kona ,vibendela kila kona ,var zinaangali ..

Wakaamua penalty ....!


Wewe mchoma mahindi wa manzese unapata wapi ubavu wa kusema sio ..


Jitafakari kijana ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…