Manchester United (Red Devils) | Special Thread

😀😀
Inapendeza sana kuona Man U inaenda kuamua tena ubingwa wa Man city Kama ambavyo iliamua msimu wa 2018/2019 guys kesho mkifungwa na Liverpool hata 1 itapendeza Sana kumbukeni tunatoka Jiji laManchester wote.
 
Utabiri wako siku zote huwa unaenda tofauti sana.
 
Nyie NYUMBU aka PUNDA Kama PUNDA nafasi ya pili ni yetu sisi, kesho kama kawaida mnakalia ukuni.
 
Swali langu ni nje ya uzi huu ila unabadilishaje username?
 
Kama manchester united atamaliza ligi akiwa kwenye nafasi ya pili basi ndani ya miwili miwili ijayo wanaweza kubeba ubingwa watahitaji kuboresha kikosi na kutomfukuza kocha kazi inaonekana timu inaunganika makosa madogo madogo yapo ila walau sasa timu inaonekana wapi wanahitaji watu
 
Unawashangaa liverpool wakati hata nyie man u mpo hivyo hivyo. Refer msimu wa 2018/2019 mlikubali kufungwa old trafford 0-2 na city na mkakosa top 4 ilimradi tu liverpool asiwe bingwa na Man shity akachukuwa ubingwa Kwa tofauti ya 1 point
 
Match day

I hope OGS ataanza na kile kikosi kilichomfunga Roma 6 - 2 ili timu iwe na balance nzuri, langoni akikaa yeyote either Degea au Henderson poa tu

Pogba + Bruno + Cavan wataleta mangamizi ktk lango la Liverpool

Natarajia Greenword ataingia 2nd half kutapelekea madhara zaidi kwa vijana wa Jurgen Klop

Glory Glory Man Utd
 
Rashford has not looking sharp recenty ..

Ila tuanze naye tu,dogo Mason aingie 2nd half.
 
Uko Lowry hotel na Old Traford inasemakana mashabiki wengi wanandamana #GlazersOUT

Pia kuna breaking news baadhi ya mashabiki wameingia ndani ya uwanja wa Old Traford kuonyesha msimamo wa #GlazersOUT

Hope polisi wanatafanikiwa kutuliza hali utulivu urejee

Ila all in all mashabiki wa UTD ni nomaa ktk kukinukisha, familia ya woordward wanawatambua vyema, sasa zamu ya #Glazers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…