Kuna mahali nilisoma na niliipenda hii comment:
VDB ni young aliyekuja kwenye nchi nyingine kwa mara ya kwanza anadopt culture ya nchi ngeni kwake including football style.
Timu aliyotoka walikua wanapga short pass alafu ni one two kind of one touch.
Man utd ni long pass lazima apewe muda ku adopt.
Fred alivumiliwa na hata huyu dogo apewe muda.
Alafu jamaa mvumilivu sana huyu akiwa anatoka anakimbia anamkumbatia mwenzie kiroho safi, ss ngj yatolewe yale matoto mawili hasa Martial, litanuna iloo.View attachment 1698993
what do you expect from a lad who's spending 99% of his time on bench
Alafu jamaa mvumilivu sana huyu akiwa anatoka anakimbia anamkumbatia mwenzie kiroho safi, ss ngj yatolewe yale matoto mawili hasa Martial, litanuna iloo.
Huu nao ni moja wapo ya uchawi aisee.Man u wametolewa FA ...kwa sheria ya kuchelewa kufunga goli! Hivyo west ham wamepita !
Kikubwa ushindi na pt 3 mzee.
hajaleta madogo wengi kutoka academy kwasababu wengi wana uwezo wa kawaida. Angalia kina Gomes, Chong wote wa kawaida sana. Imebidi ameanza kufanya usajili yeye mwenyewe binafsi ( Mejbri, Pellistri, Diallo). Usajili wa Academy ulikua wa kawaida, ila sasa nguvu kubwa ndo imewekwa huko ili hata kama mchezaji ni mgeni ajifunze utamaduni akiwa toka academy. Mwakani kutakua na wachezaji wengi toka u23. Huyo VDB yupo kama itatokea Bruno kaumia au hawezi kucheza kwa namna nyingine, maana yake kama Bruno ataumia bila VDB hatuna mwingine wa kucheza 10. Kama shabiki wa united, furahi kuwa na backup 10.Donny van de beek kapoteza kabisa hali ya kujiamini jana ubao wa kubadilisha wachezaj uliposhikwa naona macho yote anaangalia kibao tu anajua lazima atolewe tu kuna wachezaj wanacheza hovyo sana kwenye hii timu wanamaliza dakika 90 wanavumiliwa had wanarudi kwenye viwango vyao watu mnamshambulia sana huyu dogo kasajiliwa kwa hela nyingi kisha anakaa bench anapataje confidence?
Mwingine anakwambia hapa tumepigwa kacheza mech ngap dakika 90 kama wale wakosa magoli wanavyochezeshwa? Bruno kiungo ana goli nyingi kuwashinda ma striker
Huyo dogo akipata kocha sahihi hata ule muda anaupata atafanya makubwa.
Sosha ni kocha wetu na tunampenda ila madogo wengi kashindwa kuwaongoza kuja kwenye timu ya wakubwa toka kwenye academy ya hii timu wengi wametolewa na van gaal na mourinho tusahihishane hapo yupi kinda katolewa na sosha?
aliyeua confidence ya Rashford kudribble ni Mourinho, mechi ya Arsenal Ole akawa anamwambia Rashford ( ... take him on, he can't defend) ili kumpa confidence. Bado kijana inawezekana akapata confidence yake tena.
hajaleta madogo wengi kutoka academy kwasababu wengi wana uwezo wa kawaida. Angalia kina Gomes, Chong wote wa kawaida sana. Imebidi ameanza kufanya usajili yeye mwenyewe binafsi ( Mejbri, Pellistri, Diallo). Usajili wa Academy ulikua wa kawaida, ila sasa nguvu kubwa ndo imewekwa huko ili hata kama mchezaji ni mgeni ajifunze utamaduni akiwa toka academy. Mwakani kutakua na wachezaji wengi toka u23. Huyo VDB yupo kama itatokea Bruno kaumia au hawezi kucheza kwa namna nyingine, maana yake kama Bruno ataumia bila VDB hatuna mwingine wa kucheza 10. Kama shabiki wa united, furahi kuwa na backup 10.
aliyeua confidence ya Rashford kudribble ni Mourinho, mechi ya Arsenal Ole akawa anamwambia Rashford ( ... take him on, he can't defend) ili kumpa confidence. Bado kijana inawezekana akapata confidence yake tena.
hata ile mechi ya saints alivyoingia hakufanya kitu, ila ndo nafasi anayoenda kuziba kwasababu hata 10 akicheza vibaya timu bado inaweza kushinda, Bruno tokea mwaka huu uanze hajacheza vizuri lakini bado matokeo tunapataUnaamini asipokuwepo bruno DVB anaziba nafasi? Uliona mech ya jana basi ktk watu ambao hawakujua wanafanya nini uwanjani DVB ni mmoja wao hii ni kutokana na bench la maana
hata ile mechi ya saints alivyoingia hakufanya kitu, ila ndo nafasi anayoenda kuziba kwasababu hata 10 akicheza vibaya timu bado inaweza kushinda, Bruno tokea mwaka huu uanze hajacheza vizuri lakini bado matokeo tunapata
mwaka jana alikua fresh kufunga magoli au kudrible? hukumbuki Rashford alivyokua anarudisha mpira nyuma, anasubiri ipigwe n akilimbie mbele ya beki? take ons kaua JoseMourinho hajaua hiyo kitu mkuu mwaka jana alikuwa vizur sana yeye na martial ina maana unataka kuniambia last season alikuwa anabahatisha mwaka huu karudi kwa mourinho?
mwaka jana alikua fresh kufunga magoli au kudrible? hukumbuki Rashford alivyokua anarudisha mpira nyuma, anasubiri ipigwe n akilimbie mbele ya beki? take ons kaua Jose
Rashford huyo huyo jana katoa assist ya goli.Hii post yako mkuu jana umenishangaza sana hebu ona na hawa mchezaj akiwa chini ya kiwango hakuna anaemchukia ukweli usemwe akifanya vizur asifiwe
Nampenda sana rashford tena kwa sababu anatokea kwenye academy yetu na napenda afanye vizur zaidi mech nying sana anakosa magoli mwisho wa siku tunatoa suluhuView attachment 1698929
View attachment 1698930
View attachment 1698931
View attachment 1698932
View attachment 1698933
Mason Greenwood, Brandon William'sDonny van de beek kapoteza kabisa hali ya kujiamini jana ubao wa kubadilisha wachezaj uliposhikwa naona macho yote anaangalia kibao tu anajua lazima atolewe tu kuna wachezaj wanacheza hovyo sana kwenye hii timu wanamaliza dakika 90 wanavumiliwa had wanarudi kwenye viwango vyao watu mnamshambulia sana huyu dogo kasajiliwa kwa hela nyingi kisha anakaa bench anapataje confidence?
Mwingine anakwambia hapa tumepigwa kacheza mech ngap dakika 90 kama wale wakosa magoli wanavyochezeshwa? Bruno kiungo ana goli nyingi kuwashinda ma striker
Huyo dogo akipata kocha sahihi hata ule muda anaupata atafanya makubwa.
Sosha ni kocha wetu na tunampenda ila madogo wengi kashindwa kuwaongoza kuja kwenye timu ya wakubwa toka kwenye academy ya hii timu wengi wametolewa na van gaal na mourinho tusahihishane hapo yupi kinda katolewa na sosha?
Donny hajapoteza confidence kinachotokea bado hajaadapt intensity ya ligi vizuri.Donny van de beek kapoteza kabisa hali ya kujiamini jana ubao wa kubadilisha wachezaj uliposhikwa naona macho yote anaangalia kibao tu anajua lazima atolewe tu kuna wachezaj wanacheza hovyo sana kwenye hii timu wanamaliza dakika 90 wanavumiliwa had wanarudi kwenye viwango vyao watu mnamshambulia sana huyu dogo kasajiliwa kwa hela nyingi kisha anakaa bench anapataje confidence?
Mwingine anakwambia hapa tumepigwa kacheza mech ngap dakika 90 kama wale wakosa magoli wanavyochezeshwa? Bruno kiungo ana goli nyingi kuwashinda ma striker
Huyo dogo akipata kocha sahihi hata ule muda anaupata atafanya makubwa.
Sosha ni kocha wetu na tunampenda ila madogo wengi kashindwa kuwaongoza kuja kwenye timu ya wakubwa toka kwenye academy ya hii timu wengi wametolewa na van gaal na mourinho tusahihishane hapo yupi kinda katolewa na sosha?
Mason Greenwood, Brandon William's
Fred pia alikuwa na shida hiyo lakini amekaa kwenye reli the rest is history.View attachment 1698993
what do you expect from a lad who's spending 99% of his time on bench