assume we ndo kocha wa Man U, una option ya kumuanzisha Bruno na VDB utamuanzisha yupi?
na dalili ya timu kuwa kubwa ni uwepo wa Depth nzuri. na VDB alikuwa prefered UEFA sio kwamba tu kiwango chake ni cha FA, kama unakumbuka Fred kabla ya kuwa na kiwango EPL alikuwa anacheza vizuri Champions league, hata mechi tunawatoa Psg fred alikuwa ndani, kocha huyo huyo aliemtoa fred kuwa flop mpaka kuja kuwa key player ndio anajua amtumie vipi VDB.
na kuwa sub ama Bench ole analijua zaidi, maisha yake yote alicheza hivyo na bado anaonekana kama legend, tena ni legend kushinda hao waliokuwa wanaanza badala yake.
kuhusu ighalo angalia comment yako ya nyuma ulisema alikuja akacheza aka kaa bench, nimekupa stats zake toka mwanzo hakuwa akicheza Epl anachezeshwa tu mickey mouse competition.