FT Wachezaji walienda kumkumbatia Bailly bila shaka ni kwa kazi aliyopiga. Ile dk ya mwisho Davis alitaka kutulaza na viatu.
Ninachopenda kwenye hii United ya sasa ni ile winning mentality; sasa hivi kutoa sare kwetu ni kama tumefungwa. Halafu hii ratiba imekaa poa sana sasa hivi presha wanayo Liverpool dhidi ya Soton: The Saints. Wanayo shughuli nzito ya kufanya, wakitoa sare tu itakuwa bomba sana.