Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah, umetisha mkuu.

Kama uliona draw mapema vile.
sociedad na granada walikuwa na 6.72% hivyo basi uwezekano ulikuwa ni mkubwa sana japokuwa si kila muda inatokezea kweli. mfano arsenal anacheza na benfica mwenye 6.61% haliyakuwa wengineo wamegonga 7%.

wale walio ombeya tucheze na molde waanze kuimba wimbo wa ole mitatu tena.
 
★Van Gaal on Donny van de Beek: “I hope his time will come, but I don't think he made a good choice.”.★

#GGMU


manutd | View attachment 1649861
Kwanini watu wa Netherlands wameongea negative sana juu ya usajili wa Donny ambaye kapata nafasi kwa haraka zaidi United kuliko ilivyokuwa kwa Mathis Delight ambaye hakupata nafasi sana pale Juventus msimu wake wa kwanza ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…