Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kipimo nilichokuwa nakisubiria kwa bwana ole gunnar ili nimhukumu vilivyo kimekaribia.

wale wahuni wana pressing kuliko mbwa mwenye kichaa na tukishindwa kuicontrol mechi pale kati basi tumeumia.

Romeu and Ward Prowse are very strong, sidhani kama tutaanza na midfield wa mechi iliopita dhidi ya waarabu wa turkey.

matokeo ya ushindi si tu ninayoyasubiria bali hamu yangu ni kumuona Ole akimdhibiti kiufundi mtaalamu ralph hasenhüttl.

nimeshaanza kutetemeka wala siku yenyewe haijafika na wasiolewa mpira watadhani jamaa amechanganyikiwa na stori za halima.

wazee wa 4-4-2 inayonyumbulika hadi 4-2-2-2 wanatusubiri pale kwa mtakatifu
tukutane jumapili inshaallah,
mwalimu bora uingereza baada ya klopp
 
Yaani bado unataka usajili midfield ?
 
ni kutokana na tabia yake ya kupenda kujaribu jambo gumu bila ya kujali position aliopo, hata mimi mwanzoni nilikuwa nachukizwa na tabia yake.

nimejifunza ni bora bruno anayepiga pasi kwa adui kuliko bwana midfield anayetamba na square pass
Paul Pogba kapata ankle tena sijui atakaa nje kwa muda gani
 
ni kutokana na tabia yake ya kupenda kujaribu jambo gumu bila ya kujali position aliopo, hata mimi mwanzoni nilikuwa nachukizwa na tabia yake.

nimejifunza ni bora bruno anayepiga pasi kwa adui kuliko bwana midfield anayetamba na square pass
Bruno anafanya anachotakiwa kukifanya uwanjani binafsi huwa sipendi uchezaji wa English midfielders wengi wa kupiga square passes nyingi ili wamaintain possession.
 
This time huenda tukamwadhibu Danny Ings hatakuwepo na Redmond pia.

Huyu Redmond ni msumbufu sana na hachoki kukimbia threat nyingine ni Che Adam' pamoja na Ward Prowse.
 
Hahaha watu wanaangalia results tu na siyo factors zingine.
Tunajua kuwa watakuwa dominated easily na viungo aggresive lakini haliondoi ukweli kuwa kucheza na McFred kila siku wasioweza kutoa hata final passes za kueleweka ni kujichelewesha tu..hatuwezi kuwa tunamtegemea Bruno tu kama roho ya timu..

Tunahitaji viungo wanaoweza kukeep possession,kukaba na kutoa final passes nzuri..
 
★Kama Redmond hatakuwepo me naanza kujihakikishia ushindi asee maana kale kajamaa kanachezaga kama Team wameteka mke na watoto wa kenyewe
This time huenda tukamwadhibu Danny Ings hatakuwepo na Redmond pia.

Huyu Redmond ni msumbufu sana na hachoki kukimbia threat nyingine ni Che Adam' pamoja na Ward Prowse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…