Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona makocha mmeanza kuwa wengi...teh teh twh teh
 
Oops. Pamoja na kwamba Manu United wana wachezaji 1I plus referee uwanjani lakini uwingi wao hauwasadii.

Manu United hierarchy inabidi wamuombe Alex Ferguson to come out of his retirement kuisaidia hii timu inayoonekana kutokuwa na plan B.

Marouane Fellaini worth £27.5 million!?. Hizi ndizo mechi za kupima dhamani ya pesa iliyotumika na kwa matumizi hayo. Hiki ni kichekesho!

Kuna uwezekano mkubwa wa Wayne Rooney kupata second yellow card. He's frustrated young man.Manu United, Changes, changes, changes.
 
.....,labda substitute aingie SIR ALEX FERGUSON., leo hamtoki!!!
🏃🏃🏃

Hahahahaha ... Maji ya mustach manure .. Babu gigs aokoe jahazi
 
Reactions: Mbu
David needs to make changes quickly...this could be a rout for City..

Tom looks to be coming in...
 
Man u kama yanga tuuuuj hahhahahaha

Jamaniii wanatia huruma.
 
4-0 City...it looks like it is all over.



Hivi Moya amejiandaa na gunia la magoli .... .... .... .... Nzi njoo bana changia basi .... .. 4 mtungi up to now stoke wanawacheka maana waliwatoa kamasi Mancs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…