The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Alafu kwnn huwa mna dharau namna hii yn huwa mnadhani nyie ndio mnaojua mpira pekeenu au co.Thomas Muller anacheza position hiyo hiyo anayocheza Bruno na De Bruyne ila kama unaangalia mpira kwa sababu ya betting huwezi kuona ubora wa huyo kiumbe.
Chini ya JM kama kuna namba ambayo PP hajachezeshwa ili kuutafuta ubora wake ni golikipa na labda rightback tu.Ukweli ni kwamba bado Pogba ni mchezaji mzuri lakini huenda hataweza kuendelea kuwa bora pale United kwa sababu zake mwenyewe binafsi.
Toka ligi imeanza Pogba hajawahi kucheza mbele ya Scot na Fred kwenye Pivot role yao na yeye akacheza nafasi anayocheza Bruno.
Hata World Cup 2018 Pogba alikuwa anacheza mbele ya Ng'olo Kante na Blaise Matuidi najua unafahamu shughuli ya hao watu wawili.
Kama Solkjaer atajaribu kumtumia katika majukumu hayo itampunguzia defensive duties na huenda akaanza kufunga na kutoa assist pia.
Ni jukumu la mwalimu kubuni mbinu za kupata ubora wa mchezaji wake.
Hata goal keeper mbona alichezezwa kwenye mazoezi pale Carrington........Chini ya JM kama kuna namba ambayo PP hajachezeshwa ili kuutafuta ubora wake ni golikipa na labda rightback tu.
Tumuache jamaa aondoke tutafute wachezaji waliokamilika sehemu zote kwenye ushambuliaji na kuzuia kwa kiasi cha kutosha.
Tusibadilishe recipe ya ushindi tuliyobahatisha hadi sasa sababu ya kumfurahisha Pogba.
Pogba AUZWE!
Maybe anataka aonekane ana mtazamo tofauti ila hata yeye ukweli anaujua kwenye hiyo list yake ni KDB pekee na Bruno ndiyo unaweza kuwaweka kundi moja kwa sasa.Alafu kwnn huwa mna dharau namna hii yn huwa mnadhani nyie ndio mnaojua mpira pekeenu au co.
Thomas Muller Bundesliga kacheza mechi nane kafunga mara nne na assist tano.Maybe anataka aonekane ana mtazamo tofauti ila hata yeye ukweli anaujua kwenye hiyo list yake ni KDB pekee na Bruno ndiyo unaweza kuwaweka kundi moja kwa sasa.
Ss bundes liga unafananisha na epl mkuu?Thomas Muller Bundesliga kacheza mechi nane kafunga mara nne na assist tano.
UCL kacheza mechi moja ana goli moja.
Ss bundes liga unafananisha na epl mkuu?
Kuandika tu haujui broSs bundes liga unafananisha na epl mkuu?
Hongera kwako ww unaejua kuandika, ila naomba unifundishe kama hutojali.Kuandika tu haujui bro
Utanipa?Hongera kwako ww unaejua kuandika, ila naomba unifundishe kama hutojali.
Ngj nikwambie kijana hunijui wala ckujui ila fahamu kwamba unatakiwa kuwa na heshima ofcz km tutahitaji twende academically huniwezi kwa chochote kile I can assure you, huniwezi kabisa kivyote, ww fanya yako tembea usitake tuamshe mambo mengine humu.Utanipa?
Pesa bro ya kufundishiwa kuandika uwe competent katika kusoma na kuandikaNgj nikwambie kijana hunijui wala ckujui ila fahamu kwamba unatakiwa kuwa na heshima ofcz km tutahitaji twende academically huniwezi kwa chochote kile I can assure you, huniwezi kabisa kivyote, ww fanya yako tembea usitake tuamshe mambo mengine humu.
Huyu jamaa namkubali sana tokea ule usiku wa Paris mwaka jana 2019!Fred has started 8 games for Manchester United this season:
3-0 vs. Luton
3-0 vs. Brighton
4-1 vs. Newcastle United
2-1 vs. PSG
0-0 vs. Chelsea
5-0 vs. RB Leipzig
0-1 vs. Arsenal
3-1 vs. Everton
manutd | View attachment 1624335
Huyu atakuja kupotea kama Jack Wilshere.. (Spana mkononi)★Shaw is expected to miss Premier League games against West Brom, Southampton and West Ham, as well as Champions League clashes with Istanbul Basaksehir, Paris Saint-Germain and RB Leipzig while he recovers from the setback.★
manutd | View attachment 1624334
Pacha yake na Mctominay huwa ya moto sana.Fred has started 8 games for Manchester United this season:
3-0 vs. Luton
3-0 vs. Brighton
4-1 vs. Newcastle United
2-1 vs. PSG
0-0 vs. Chelsea
5-0 vs. RB Leipzig
0-1 vs. Arsenal
3-1 vs. Everton
manutd | View attachment 1624335
Huyu jamaa namkubali sana tokea ule usiku wa Paris mwaka jana 2019!