Huyu maguire tumepigwa kwa ile bei, martial anafahamu tupo nyuma 2-1 analipitizia kiwiko, hahahahahh daah kuipenda man utd kipindi hiki inaitaji ustamilivu ila ndio timu yetu
Kwa leo wachezaji ndio waliozingua, OGS kwa leo hana kosa japo naye ana madhaifu yake