Hivi Ole hana mpango wa kusajili au board yetu haina uwezo wa kusajili ?itafika wakati atataka kumuuza ad bruno wasipoangalia mana, huyu kocha hana mbinu za kiufundi kabsa kashusha viwango vya wachezaji toka aje mfano daniel james, bissaka , maguire, hata bruno ukianza kuangalia unaona ananza kushuka na si ajabu hata sancho akaja akawa boya tu, mana kocha hatuna kabisa.
Lukaku aliyemkataa ndo kawa mchezaji bora uropa na mpaka leo hana mpango wa kusajili ril no 9 nahisi maumivu kila nikicheki timu yangu
Maombi yako yalitugharimu sana.★Me niliombea kwenye sevilla na ikatokea japo niliumia cha ajabu lengo halijatimia ndio kwanza tumesajili mmoja tu★
Hilo kundi ni jespesi sana kwa united.
Tutakuwa wakwanza kuvuka kwenye kundi hilo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Maombi yako yalitugharimu sana.
Kuombea mabaya team yetu haitasaidia chochote.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Anavyostahili kutwaa Arsenal tuNi kweli ila shida haiwezi kuwa ni Pogba na Martial tu..huyo Martial hata Mourihno alikuwa hamkubali..Sababu za kutofanya vizuri ziko nyingi
Yote ni makombe lakini hatuwezi kupiga kelele mwezi mzima eti kisa tumeshinda carabao cup n.k...Hivi ni vikombe vya kawaida..Ubora wetu inabidi upimwe kwa kuchukua EPL na Champions League
Hilo kundi ni jespesi sana kwa united.
Tutakuwa wakwanza kuvuka kwenye kundi hilo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Liverpool hakutumia pesa ndogo kuimarisha ukuta wake mkuu angalia vizuri record zako.Halafu mkuu mi suala la usajiri ni kama kamali tu tunaweza kusajili na bado tukawa palepale kwa mfano angalia city ule usajili wake msimu ukiopita kapigika sana sisi wenyewe tumepiga nyumban kwake na kwetu wachezaj tulionao wanahitaj mbinu nzur tu za kocha na hamasa angalia liverpool pesa walizotumia kwa kujennga ukuta wao ni ndogo sana ila kuna hamasa ya kocha na mbinu nzur sisi tunawachezaji wengi wa gharama na mishahara mizur lakin bado tunayumba kidogo sio sana binafsi hata tusiposajili naimani sana na timu yangu nikiangalia kiungo chetu si kibaya kocha akomae na pogba akaze mata bado ana kitu
Bruno
Don van de beek
Fred
Matic
Scott
Pogba~~mwenyewe cha uvivu
Mata
Eneo ambalo huwa silipendi ktk hii timu yetu ni kwa martial na rashaford hawa watu wanawafanya viungo wetu kuwa na wakat mgumu sana wanapoteza nafasi nyingi na kukosa ubunifu wanakabika nafikir labda hapo kocha angepaangalia sana na ndipo msimu ulipoisha pametupa drooo za kutosha
Kwa hiyo hata tusiposajir ni poa tu tuangalie msimu ujao ukiangalia gharama zenyewe daaa sancho ni mchezaj mzur ila bei yake ipo juu sana national teama anahangaika sana vipi kama mfumo wa dortmund unambeba? Kama ntakuwa nakosea kwa sancho tusahihishane kila mmoja ana maono tofauti.
Hata arsenal wanasajiri vizur sana lakin kocha anaongeza kitu
Bodi ya united hawana uwezo wa kusajili zaidi ya kupiga porojo magazetini tu.★Kuna muda inabidi tufanye madhambi kwa lengo la kurekebisha makosa bila kuangalia itatugharimu kiasi gani mfano shule mkiwa mmepewa adhabu kama kuna mtu atagomea adhabu uwezekano wa adhabu kupewa yeye unakuwepo mkubwa sana na ndivyo nilifikiri kwa Man U kwamba wakikosa kuingia fainali wakuu wa bodi na Meneja kwa ujumla watakuwa wameona mapungufu ya timu na kuihudumia panapo stahiri lakini plan yangu haijafanya kazi nahapo ndipo ntaonekana namakosa ila ingefanyikiwa pasingekuwa na doubt yeyote★
PSG ni timu yenye watoto wengi kama united tu kwa vyovyote vile kundi letu ni kundi la watoto.Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?
Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
Threat pekee PSG ni Mbappe tu huyo Neymar hana lolote.Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?
Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
Liverpool hakutumia pesa ndogo kuimarisha ukuta wake mkuu angalia vizuri record zako.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mbona umemsahau Alisson ?Kuna
Matip free
Joe gomez
Andrew Robertson
Trent Alexander-Arnold
Virgil Van Dijk
Hapo wa gharama ni Virgil Van Dijk basi
Kwetu sasa
Shaw
Bailly
Maguire
Lindelof
Bissaka
Siongei vibaya kuna muda hata bodi inabidi ijifikirie mara 2 kutoa mpunga
Threat pekee PSG ni Mbappe tu huyo Neymar hana lolote.
Mchezaji anayeweza kukosa clear chance tano hawezi kuwa threat kwa timu yoyote
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Bodi ya united hawana uwezo wa kusajili zaidi ya kupiga porojo magazetini tu.
Mpaka mchezaji mtangazwe ndiyo utajiridhisha kuwa united tumesajili bila hivyo hakuna kitu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Neymar hana hatari yoyote sema ni machachari kuliko Mbappe.Mkuu neymar ni hatar zaidi ya mbappe nakwambia ukweli kuna muda watu walikuwa had wakienda mbali hazard ni bora ya neymar yaani hao wote wawili mbappe na hazard hawawezi kumfikia neymar kwa lolote lile nakwambia ukweli
Neymar hana hatari yoyote sema ni machachari kuliko Mbappe.
Neymar hawezi kuwa threat kiasi cha kutisha kucheza nae kwanza anakabika na predictable sana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Probably wameshindwa kusajili kwa sababu imejengeka kuwa United wanatumia pesa nyingi kusajili hovyo hovyo.★Wanaona Tupo League ya Mabingwa League ngumu hata huruma kutuonea sisi MASHABIKI hawana huku si kuuwana kwa Presha huku★
Neymar hana hatari yoyote kuliko Mbappe.mkuu acha hayo mambo bana kama tumeshindwa kumkaba zaha vipi neymar?