Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha kafanya nitukane yale matusi ya hasira wakati huwa situkani kabisa.. Kamuacha Baily Nje kweli?!
Hata km Bailly hayupo fit sioni sababu ya kumwanzisha huyo bwege wa Kiswidi bora hata Fotsu-Mensah !!!
 
Degea, pogba, rashford na lindelov hata wacheze vipi hata wawe na form mbovu lazima ole awaanzishe.
Huyu kocha ni kirusi asepe tu hajielewi. Haiwezekani game iliopita pogba, rashford na lindelov wacheze utopoto na leo waanze tena *** ole anatia hasira sana.

Fred juzi na vdb wamecheza vizuri why wasianze?? Bailly is back why asianze??
Any way GGMU tuombee ushindi tu ila nawaambieni ole hakuna kocha hajui atendalo na makombe tutaendelea kuyasikia kwa majirani
 
Siamini kwamba kikosi cha watu 18 hakina forward hata mmoja benchi. McT, Henderson, lingard, Fred, Vdb, bailly na Fuso mensah
 
Katika dakika hizi 25 mnasemaje wadau?? Kweli hadi hawa tunamuhitaji sancho kudominate mechi kama hizi? Attempt 4 kwa 1 tena hatuna on target jamaa wana kama 2 hivi na mlingoti juu.

Ngoja niendelee kuangalia labda kuna jipya mbeleni lakini mmmh NEHIE.
 
OGS ASIPOMSTAAFISHA MAPEMA POGBA TUTAPATA TABU SANA...MBONA MATIC UMRI UMEENDA NA ANACHEZA VIZURI TUU..pumbaf sana.
 
Hao wachezaji watauzwa tutatafuta wengine.

Lingard amekufa kiwango, kosa la nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…