Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo pia sijui hatuna bahati au niaje..

OFFSIDES TATU!!! ambazo kwa kawaida yangekuwa magoli matatu hapo.
 
Kuna mdau kaeleza vizuri hapo juu, hii timu inahitaji mchezaji kama mmoja tu kwenye ulinzi, otherwise ni timu iliyo na wachezaji wote muhimu, kilichosalia ni ufundishaji na mbinu za mwalimu.
 
Nani madogo?
 
Hii timu sijui tunakwama wapi, kianzia kocha hadi wachezaji wote hawapo serious.....mchezaji hata cross hajui kupiga anakosea anacheka tu, kocha ahata aamke kuwaelekeza nae amekaa......nafasi ya 3 ni zawadi tosha ya utawala wa Ole hatuwezi ifikia tena misimu yote inayokuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…