Hii timu sijui tunakwama wapi, kianzia kocha hadi wachezaji wote hawapo serious.....mchezaji hata cross hajui kupiga anakosea anacheka tu, kocha ahata aamke kuwaelekeza nae amekaa......nafasi ya 3 ni zawadi tosha ya utawala wa Ole hatuwezi ifikia tena misimu yote inayokuja