Ni mzuri anapace, ni tall, left footed, pia anacheza mipira ya juu bila shida na mwili wake umejengeza meams anaweza kucheza EPL akapambana bila shida,Kwa huyu chalii United wanaenda kutupa hela tena
Hii jezi ni mbovu aiseehAdidas waache ujinga
Mbona wanawafyatulia Arsenal kits kali?..iweje sisi tuletewe home kit ya 2020/2021 ambayo ni mfanano wa 2017/2018 away kit?
Rubbish
Nimejitahidi kuwa objective sana Dully Jr.Huna jipya, unataka kupata releaf kupitia Arsenal
Hivi msimu huu hmebeba nini wewe? Nyumbu mnatia huruma
Hamna beki hapo kwa mfumo wa Solkjaer wakutumia centerbacks kwenye build up hatakuwa useful sana.Ni mzuri anapace, ni tall, left footed, pia anacheza mipira ya juu bila shida na mwili wake umejengeza meams anaweza kucheza EPL akapambana bila shida,
udhaifu wake ni katika passing sioni kama ni mzuri sana kama yule pau torres pia tackling zake ni kama bissaka hivi sasa ile kwa mtu anaecheza centre anaweza kusababisha penalty kadhaa.....
Na umeichangia point 4 msimu huu, huoni aibu kuongea huu utopolo mkuu.... Sasa mkubwa ni yupi kati ya Arsenal na UnitedNimejitahidi kuwa objective sana Dully Jr.
Msimu Arsenal walitoka kwenye level ya timu kubwa ni pale walipomuuza Alexander Song, Cesc Fabrigas na Robin Van Persie kwa timu kubwa.
Unakumbuka ile match Arsenal walimtoa AC Milan UEFA champions League kwa goli la Fabrigas na Walcot ?
Hii ndiyo misimu ambayo Arsenal walikuwa wanahesabika kama timu kubwa baada ya hapo imekuwa timu ya kawaida bado wanajitutumua tu with time watafika level ya Everton.
Walimuuza cr7 wakaenda finali UCL na wakatwaa ubingwa epl mfululizo mara tatuNa umeichangia point 4 msimu huu, huoni aibu kuongea huu utopolo mkuu.... Sasa mkubwa ni yupi kati ya Arsenal na United
Kama kigezo ni kufungwa na timu ndogo?
Mimi naona Man United walitoka ktk level za timu kubwa pale walipomuuza CR7
Man united bado iko kipindi cha mpito ndiyo maana hata ikifungwa inakuwa habari kubwa sana maana timu kubwa huwa hazifungwi kirahisi.Kwahiyo United hii ipo katika level ile ya mwanzo?wewe unaijua United kweli?
Shabiki wa Manyumbu anayeicheka Arsenal ni mpumbavu tu pekee,
Maana katika timu zilizoporomoka na nyumbu ni included labda kama umeanza kushabikia nyumbu juzi walivyobeba kombe la top3....
Hii Nyumbu ambayo Old Trafford watoto wadogo wamepageuza pa kujiokotea point
Hapatishi tena kama enzi za SAF na wewe unaicheka Arsenal....
Hivi ni vituko
Man united bado iko kipindi cha mpito ndiyo maana hata ikifungwa inakuwa habari kubwa sana maana timu kubwa huwa hazifungwi kirahisi.
Mkuu..official kit yetu bado haijatoka..hizo ni speculations tu..!Adidas waache ujinga
Mbona wanawafyatulia Arsenal kits kali?..iweje sisi tuletewe home kit ya 2020/2021 ambayo ni mfanano wa 2017/2018 away kit?
Rubbish
Mara nyingi hizi leaked photos zinakuwa ndo kweli..so,tutarajie uzi kama huoMkuu..official kit yetu bado haijatoka..hizo ni speculations tu..!
Jezi zetu zinatoka siki chache zijazo..watu wanadai zitatangazwa usajili wa sanchp ukikamilika ili kuboost mauzo..
One downkwa lugha ya nyumbani tunasema liwalo na liwe lakini hapa utahama,
View attachment 1526568
Inawezekana chief..lkn kwa kipindi cha mwezi mmoja uliopita binafsi nimeona more than 2 leaked kits za utd ambazo sio za kweli..i think tusikilizie tuone ukweli ni upiMara nyingi hizi leaked photos zinakuwa ndo kweli..so,tutarajie uzi kama huo
naona kama Smalling anarudi vileee..!!One down
Bado
✓Rojo
✓Jones
✓Smalling**
✓Dalot
✓Perreira
✓Lingard
Ni utani au? Jezi kama shati la Mwenge unaiita motoooo?Ila nisiwe mnafiki..UZI WA AWAY WA MAN CITY ni motoooooo!!!! Ile jersey ni balaa aisee
Akirudi siyo mbaya..as long as Jones na Rojo wataondokanaona kama Smalling anarudi vileee..!!
Tena jamaa alikuwa anakunja parefu sana 560,000 kwa wikiOne down
Bado
✓Rojo
✓Jones
✓Smalling**
✓Dalot
✓Perreira
✓Lingard
Leo ndiyo siku rasmi inatarajiwa uzi kuachiwa kabla ya mechi yetu ya Europa dhidi ya LASK.Mkuu..official kit yetu bado haijatoka..hizo ni speculations tu..!
Jezi zetu zinatoka siki chache zijazo..watu wanadai zitatangazwa usajili wa sanchp ukikamilika ili kuboost mauzo..