Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Amberruti tumia shimo moja tu, hilo shimo lingine lina matumizi mengine bhana

Naona kazi yako haina soko AR unatafuta wanaume mitandaoni
Hahaha mwajuma Mwajuma Bhana ..kwanza wale jamaa walikulipa? Maana sio kwa mtungo ule
 
Popular opinion....Watu wengi wanaichukia United kwa sababu ya mateso iliyowahi kuwapatia hasa kipindi cha Sir Alex Ferguson. Babu alipostaafu ikawa Neema na ndereko kwa hawa wapinzani. Mara hii kuiona tena United ikiwa na kila dalili za kurejesha zama zake, inawauma sana watu zaidi ya kisu cha ngariba. Tusiwanyanyapae,(hawana Covid-19)...ni ndugu zetu wenye majeraha mengi rohoni, deep down wanatamani lingekuwa chama lao ila ndo hivyo tena.

Manchester United ni zaidi ya FC, ni Imani katika Soccer, ni alama ya Ushujaa na ushindi iliyo kwenye DNA ya wafuasi wake.

Win or lose, we are forever UNITED.
 
Next season wataichukia maradufu.Sleeping giant is awaken.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…