Ulitaka tushinde njaaUtashangaa man anashinda et
Ngoja asajili ndio tutamuhukumuMourinho kaishiwa mbinu kabisa Spurs imekuwa timu ya hovyo kweli
Team inatakiwa iwe na wafia timu kama BF na Maguire wengine wanacheza ilimradi watimize muda ona BF anafunga penalty ashanglii anachukua mpira anaenda KatiJames ni hopeless anashindwa na Greenwood na Martial anazingua sana wametukosesha point 3 leo.
Maguire katucost lile goli aisee unapigwaje chenga ya kizamani namna hiyo ?Team inatakiwa iwe na wafia timu kama BF na Maguire wengine wanacheza ilimradi watimize muda ona BF anafunga penalty ashanglii anachukua mpira anaenda Kati
Upo sahihi mkuu tuna mahitaji makubwa sanaa na wing upande wa James bissaka sio Mzuri kwa attacking abakie tu na majukumu yake ya kuzui tuTimu imecheza vizuri ila wings hazikufanya kazi yake sawa sawa.
Hasa right wing James alikuwa off game kabisa.
Rashford kushoto hakuwa lethal pia kiasi cha kumnyima uhuru Aurier.
SHAW alikuwa off game first half but second half alikuja vizuri sana.
Bissaka eneo lake second half ameshindwa kulitumia na Totenham walimpa hiyo operating space kwa sababu hana madhara front but ingempa nafasi Son ya kuwa free all the time.
All in all game ilikuwa nzuri sana kuitazama.
✓Pogba ni most talented player we have..Hands down
✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee
✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo
✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason
✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me
✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz
✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason
Next Shiefield United
GGMU
Acha kutulisha pumba wewe, man city alivyoshinda jana ana cheza mpira kila siku? Kubalini timu lenu ni takataka na Europa itawausu tu akina namuna!✓Pogba ni most talented player we have..Hands down
✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee
✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo
✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason
✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me
✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz
✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason
Next Shiefield United
GGMU
Nani wa kutuzuia sisi msimu huu? Mbele ya Lampard kila goti litapigwa..bado wewe next week una msiba mzito.