Ole alisema benchi la ufundi lina-figure out ni jinsi gani watawabeba Bruno na Pogba kwa muda mmoja..Sasa sijui ni nani kati ya McTominay,Fred na Matic ataanza kwenye CDM..Maana naona itakuwa ngumu kucheza na viungo wanne..Maybe inawezekana,let's wait and see.
Matic +Fred wamefanya tuwe na ngome ngumu kiasi..wapo vizuri defensively,kuharibu tena hii combo sijui itakuwaje