Manchester United (Red Devils) | Special Thread

√De Gea amefanya first class blunder

√First half tumecheza poa..ila second half tumepoteza concentration na urgency

√Hapa goodison park sio pazuri,lakini nadhani ilibidi tuongeze umakini na juhudi zaidi..

√Martial amecheza kama hataki vile..Not a required standard for united striker

√Fernandes was superb apart from losing a ball frequently
 
Kuna watu hawaoni hili..Awaangalie Richarlson, Culvert Lewin et all. Ligi ya Uingereza ni kupambana haswaa, aache uzezeta.
Ighalo angeanza tungekuwa tunaongea mengine hapa.
Ila huyu Martial ajifunze kwa washambuliaji wa team zingine maana anatu cost sana baadhi ya mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHAMBUZI ANASEMA...KITENDO CHA SIGURDSON KUNYANYUA MIGUU KUUPISHA MPIRA TAYARI AMEKUWA PART OF THE GAME (AMEKUWA SEHEMU YA MPIRA ULIOPIGWA) ANGEWEZA KULALA KIMYA NA MPIRA UKAPITA LINGEKUWA GOLI BILA KUHITAJI VAR.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye point ya nne nadhani tunaelekea kuelewana...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka mechi ya City na United ya kwanza kocha Mourinho mpira ulipigwa Zlatan alikuwa offside position akaukwepa mpira ukaingia ikawa offside ina maana mchezaji wa Everton ameingilia mchezo wakati yupo offside position
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…